×

Mo Dewji Aingilia Usajili Wa Rasta Wa Cameroon, Simba Yatoa Kauli ya Kibabe

UONGOZI wa Simba umeweka wazi kuwa hawatoshindwa kumsajili mchezaji yeyote watakayemtaka kulingana na thamani yake kutokana uwepo wa mwekezaji na...

READ MORE

Serikali Yakabidhi Magari na Vifaa Vya Bilioni 4.3 OSHA

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu), Prof. Joyce Ndalichako ameukabidhi Wakala wa Usalama...

READ MORE

NMB, Agricom kukopesha wakulima Matrekta, Zana, Pembejeo za Kilimo

KATIKA kukuza mchango wa Sekta ya Kilimo kwa Pato la Taifa na kuleta mabadiliko chanya ya kimaendeleo kwa mkulima mmoja...

READ MORE

PSSSF Yavipatia Vifaa Tiba Vituo Sita Vya Afya, Bara na Visiwani

MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetoa msaada wa vifaa tiba kwa vituo sita vya afya...

READ MORE

Kigogo Yanga Afichua Siri ya Mayele Kubaki… Atamba Kushusha Vifaa vya Maana

UONGOZI wa Yanga, umeweka wazi mpango wake wa kushusha vifaa vya maana kwa ajili ya kuhakikisha msimu ujao timu inaendelea...

READ MORE

Beki Kitasa Azuiliwa Simba Kuendelea kubaki Msimu Ujao

SIMBA imetangaza kuwa beki wao Mkenya, Jonas Onyango, bado mali ya timu hiyo, na ataendelea kuwa mchezaji wao kwa msimu...

READ MORE

Mwanamfalme Harry na Mkewe Megan Wahama Kwenye Kasri ya Familia

Maafisa wa Kasri ya Buckingham, ya mflame wa Uingereza, wametangaza Alhamisi, kwamba Mwanamfalme Harry na mkewe Meghan hatimaye wamehama nyumba...

READ MORE

Mahakama ya New York yapinga ombi la Trump la kuondolewa mashitaka ya ubakaji

Jaji mmoja wa mahakama ya serikali mjini New York, ametupilia mbali juhudi za rais wa zamani wa Marekani Donald Trump...

READ MORE

Ally Kamwe Afunguka Usajili Yanga, Uzinduzi Wa Jezi, Namba 6 Mpya – Video

Kuelekea uzinduzi wa jezi za Klabu ya Yanga, afisa habari wa klabu hiyo, Ally Kamwe ametoa ufafanuzi wa namna viongozi...

READ MORE

Viashiria vya Kujua Kama Unapendwa!

UPO kwenye uhusiano wa kimapenzi? Unahisi unapendwa na mpenzi wako? Haya ni maswali muhimu ya kujiuliza. Kwenye uhusiano, si wote...

READ MORE

Rais Samia Ateua Makamu NEC, Mkaguzi Mkuu wa Serikali – Video

RAIS Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Naibu Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Benjamin Magai kuwa Mkaguzi Mkuu...

READ MORE

Dar es Saalaam 30 Juni 2023: Ikiwa ni Takribani wiki sasa tangu kampuni ya Mawasiliano ya Tigo izindue Kampeni yake...

READ MORE

Madonna Ahairisha Ziara Baada ya Kupelekwa katika Chumba cha Wagonjwa Mahututi

Mwanamuziki Madonna ameahirisha ziara yake ya kimataifa baada ya kupelekwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) akiwa na maambukizi makali...

READ MORE

Bosi Simba Achimba Mkwara Mzito “Jezi Mpya Kuvunja Rekodi ya Mauzo”

MARA baada ya jana Jumatano kutangaza rasmi kuwa tayari mzigo wa jezi zao mpya kwa msimu wa 2023/24 umefika, uongozi...

READ MORE

Waziri Mkuu Amuwakilisha Rais Samia Katika Swala ya Eid El Adh’haa Kitaifa Dar – Video

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, Leo 29, June 2023, amemuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Whozu Akataa Kuoa Mbele Ya Wema Sepetu – ”Sijafikia Stage Ya Kuoa” – Video

KWENYE EXCLUSIVE ya IMELDA MTEMA amepiga stori na wapenzi wawili wanaochangamsha sana mji Wema Sepetu na Whozu ambao wamefunguka mengi…

READ MORE

Kaizer Chiefs Yamtangaza Kocha Molefi Ntseki, Nabi Apigwa Chini

Klabu ya soka ya Kaizer Chiefs ya nchini Afrika Kusini hapo jana imemtangaza rasmi Molefi Ntseki kuwa ndiye kocha wao...

READ MORE

Mbunge Keisha: Msitishwe na Kuogopa Maneno DP World ni Fursa Kwa Wananchi

Mbunge wa Viti Maalum Mhe. Khadija Shaaban Taya (Keisha) amewaomba watu wenye ulemavu kuchangamkia fursa za kiuchumi zilizopo na kutoa...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Tamko Sakata La Bandari Ya Dar, Huu Hapa Msimamo Wa Serikali – “Tutajadiliana”-Video

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema makubaliano baina ya Serikali ya Tanzania na Serikali ya...

READ MORE

Msanii wa Bongo Fleva Anayeishi Nchini Uingereza Aachia Goma la Bad Vibes

Iicons ni msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka Tanzania anayeishi nchini Uingereza ambaye anazidi kufanya makubwa katika gemu la...

READ MORE