×

Rais wa Zamani Marekani Donald Trump Ashtakiwa kwa Ubakaji New York

Mwandishi E Jean Carroll amemshtaki Donald Trump katika jimbo la New York Marekani kwa madai ya kumbaka katika miaka ya...

READ MORE

Sheikh Kipozeo, Mchungaji Hananja Wanazungumza na Vijana – Maadhimisho Siku ya Ukimwi

SHEIKH Kipozeo pamoja na Mchungaji Hananja wanazungumza na Vijana katika Maadhimisho ya siku ya Ukimwi. 

READ MORE

Cameroon na Ghana zapoteza mechi zao za ufunguzi Kombe la Dunia, Doha Qatar

Timu ya taifa ya Cameroon Indimotible Lions ilipoteza mchezo wake dhidi ya Uswissi kwa bao 1-0 . Alikuwa ni Breel...

READ MORE

Tite: Neymar Yupo Fiti na Atacheza Mchezo Unaofuata Mashabiki Ondoeni Shaka

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Brazil Tite amethibitisha kuwa nyota wa timu hiyo na klabu ya Paris Saint...

READ MORE

Nafasi ya Kazi NMB Bank Plc Tanzania, Project Manager; Technology Projects,

Project Manager; Technology Projects (1 Position(s)) Job Location : Head Office, Hq Job Purpose: To supervise all technology projects and...

READ MORE

Busara Yaendelea Utatuzi wa Mgogoro Barabara Kigamboni

  SIKU chache baada ya Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kuweka wazi mchakato wa kumlipa fidia mwekezaji kampuni ya  ASM...

READ MORE

Bora RX Medicina Yatumia Sh Milioni 46 Kukarabati na Vifaa vya Kituo cha Afya Gerezani

  IJUMAA, Novemba 24, 2022 DAR ES SALAAM — Kampuni ya Bora Rx Medicina imetoa msaada wa vifaa vya kisasa...

READ MORE

Aleka Holdings Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba kwa Hospitali ya Ocean Road

  Kampuni ya utengenezaji na usambazaji ya vifaa tiba ya Aleka Holdings leo imetoa msaada wa barakoa za upasuaji kwa...

READ MORE

Ripoti Ya Waziri Mbarawa Ajali Ya Precision – ”Muhudumu Ndiye Alifungua Mlango” -Video

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema mlango wa ndege ya shirika la ndege la Precision Air iliyopata...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi na Ijumaa leo Nov-18,   Gazeti la Championi👉www.globalapp.co.tz Gazeti la Ijumaa👉https://bit.ly/3V9byln . 👇...

READ MORE

Wadau wa Sanaa Seattle Kuupeleka Muziki wa Tanzania Kimataifa

MUZIKI na sanaa nyingine za Tanzania vitapata fursa nyingine muhimu kuzidi kupaa kimataifa kufuatia mazungumzo yaliyofanyika kati ya wawakilishi wa...

READ MORE

Polisi India Yawatupia Lawama Panya kwa Kutafuna Kilo 200 za Bangi

KWA mujibu wa taarifa kutoka nchini India, Polisi wamewalaumu panya kwa kuharibu karibu kilo 200 za bangi iliyokamatwa kutoka kwa...

READ MORE

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Atangaza nafasi za kazi kwa Vijana

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, John Masunga ametangaza nafasi za kazi kwa vijana waliohitimu mafunzo ya Jeshi...

READ MORE

Ajali Mbaya: Mabasi Yagongana Uso kwa Uso, 37 Wapoteza Maisha

JUMLA ya watu wasiopungua 37 wamefariki Dunia baada ya kutokea kwa ajali ya mabasi mawili kugongana uso kwa uso katika...

READ MORE

Winga la Kazi Nakuja Yanga… Azungumza na Championi Jumatano Akiwa Uganda

  WINGA wa pembeni wa kimataifa wa Uganda, Allan Okello ameweka wazi kuwa tayari kujiunga na Yanga endapo viongozi wa...

READ MORE

De Bruyne Ashangazwa na Tuzo ya Mchezaji Bora wa Mechi Dhidi ya Canada

NYOTA wa Timu ya Taifa ya Ubelgiji na klabu ya Manchester City ya nchini Uingereza Kevin De Bruyne ameshangaa kukabidhiwa...

READ MORE

Guardiola Kubaki Etihad Hadi 2025, Aongeza Mkataba Mpya wa Miaka Miwili

KOCHA mkuu wa klabu ya Manchester City ya nchini Uingereza, Mhispania Pep Guardiola ameongeza mkataba mpya wa miaka miwili utakaomfanya...

READ MORE

Mashabiki wa Japan Wasafisha Uwanja Baada ya Kuishinda Ujerumani Kombe la Dunia

MASHABIKI wa timu ya Japan Novemba 23, 2022 wamewashangaza wengi baada ya kuanza kuokota taka uwanjani mara baada ya mchezo...

READ MORE

Machaguo Spesho Yenye Odds Kubwa Meridianbet Mechi za Kombe la Dunia

Michuano ya Kombe la dunia inaendelea kule Qatar ambapo leo Alhamis kutakuwa na mechi 4 za kumalizia mzunguko wa kwanza...

READ MORE