×

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi na Ijumaa leo Sep-16   Gazeti la Championihttps://bit.ly/3BJQpqh Gazeti la Ijumaahttps://bit.ly/3S9D8wE . Twende...

READ MORE

Jambazi Awamiminia Risasi Wanandoa Wakibishana Usiku, Aua Mtoto

POLISI jijini Nairobi wanamsaka mtuhumiwa mmoja wa mauaji ya mtoto ambaye anadaiwa kuwamiminia risasi wanandoa usiku wakati wakizozana nje ya...

READ MORE

Urusi Yawaachilia Wageni 10 Waliotekwa Ukraine Baada ya Upatanishi wa Saudia

URUSI siku ya Jumatano iliwaachilia huru wafungwa 10 wa kigeni wa vita waliokamatwa nchini Ukraine kufuatia upatanishi wa Mwanamfalme wa...

READ MORE

Rais Samia Akutana na Rais wa Bunge la Jamhuri ya Msumbiji Leo – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amekutana na Kuzungumza na Rais wa Bunge la Jamhuri ya...

READ MORE

Maiti Yapotea Mochwari Ndugu Wagoma Kuendelea na Mazishi Mpaka Wapate Mwili wa Marehemu

  FAMILIA moja katika kaunti ya Makueni nchini Kenya imelazimika kuahirisha hafla ya mazishi ya ndugu yao baada ya kuwepo...

READ MORE

Ligi Ya Mataifa ya Ulaya Inaendelea na Meriadianbet Wamejipanga Kutoa Pesa kwa Ajili Yako.

Baada ya Ligi nyingi kusimama sasa moto umehamia kwenye michezo ya kimataifa ya kirafiki. Mataifa ya Ulaya yatakuwa uwanjani kuhakikisha...

READ MORE

Mayele: Wananchi Msihofu, Tunatinga Makundi, Aahidi Kuwaua Al Hilal Mapema Tu

MSHAMBULIAJI kiongozi wa timu ya Yanga, Fiston Kalala Mayele amesema yeye na wachezaji wenzake hawana presha kuhusu mchezo wa raundi...

READ MORE

Iran Yazuia WhatsApp, Instagram Huku Maandamano ya Mahsa Amini Yakiongezeka

IRAN imezuia upatikanaji wa mitandao ya kijamii ya Instagram na WhatsApp huku kukiwa na maandamano ya kupinga kifo cha mwanamke...

READ MORE

Wahadhiri wa Vyuo Vikuu Waendelea Kuandamana Kupinga Kurudi kazini Nchini Nigeria

WALIMU wa vyuo vikuu wanaogoma nchini Nigeria wamesema watakata rufaa dhidi ya agizo la mahakama ya usuluhishi inayowataka kusitisha mgomo...

READ MORE

Dembele Aililia Miaka Mitano Aliyoipoteza Ndani ya Nou Camp

WINGA wa Klabu ya Barcelona na Timu ya Taifa ya Ufaransa Ousmane Dembele amefunguka juu ya maumivu aliyoyapitia katika miaka...

READ MORE

Viongozi wa Dunia Wameahidi Mabilioni ya Fedha Kupambana na UKIMWI, TB na Malaria

MFUKO wa Kimataifa wa Kupambana na UKIMWI, Kifua Kikuu na Malaria umepata dola bilioni14.25kama ufadhili mpya muhimu, baada ya miongo...

READ MORE

Wahukumiwa Kunyongwa kwa Kumuua Mwanajeshi Mkoani Morogoro

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Morogoro imewahukumu kunyongwa hadi kufa Watu watatu kwa kosa la kumuua Leonard Yamakwa ambaye...

READ MORE

Kocha Msauz Aomba Kazi Simba, Alikuwa Msadizi wa Pitso Mosimane Al Ahly

UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi bado upo katika mchakato wa kutafuta kocha mpya wa kukiongoza kikosi hiko katika...

READ MORE

Mabadiliko ya Ratiba NBC Premier League 2022/2023

Shirkisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), ambalo awali lilikuwa Chama cha Soka Tanzania (FAT), ndicho chombo kinachosimamia soka nchini...

READ MORE

WCF Yasisitiza Matumizi Ya Tehama Katika Kuwasilisha Madai Ya Fidia

  MAAFISA Rasilimali watu na Utawala hapa nchini wamehimizwa kutumia TEHAMA wakati wa kutoa Taarifa kwenye Mfuko wa Fidia kwa...

READ MORE

Zelenskyy Asema Urusi Iadhibiwe kwa Uhalifu Wake wa Uvamizi wa Kivita Ukraine

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelenskyy ameutaka Umoja wa Mataifa kuiadhibu Moscow kwa uvamizi wake, akitaka mahakama maalum na Urusi iondolewe...

READ MORE

Harmonize – Nitaubeba (Official Video), Atamba na Mpenzi Wake Kajala Masanja

 HARMONIZE au Teacher Konde; ni staa mkubwa wa muziki nchini Tanzania usiku wa kuamkia leo Septemba 22, 2022 ameachiavideo...

READ MORE

NMB Yadhamini Mil 25 Kwa Ajili Ya Michuano Ya Golf Lugalo

Benki ya NMB imetoa udhamini wa Sh. Mil. 25 kwa Mashindano ya Gofu ya Mkuu wa Majeshi Tanzania (NMB CDF...

READ MORE

Biden Aangazia Ukraine, Usalama wa Chakula na Afya ya Dunia Akihutubia Baraza Kuu la UN – Video

Kwa kutofuata utamaduni wa marais wa Marekani, Joe Biden hakuongea siku ya kwanza kwa kuwa alikuwa safarini nchini Uingereza kuhudhuria...

READ MORE