×

SBL na Water Aid Wazindua Mradi wa Kisima Chenye Thamani ya Mil. 293 Itigi, Singida

    Itigi Singida, Septemba 13, 2022. Kampuni ya bia ya Serengeti (SBL) na Water Aid Tanzania wamezindua mradi wa...

READ MORE

Waziri Mkenda na Waziri wa Elimu Zanzibar Wapokea Taarifa ya Awali ya Sera ya Elimu

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prof Adolf Mkenda pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la SpotiXtra leo Sep-13, Kwa nusu bei tu Gazeti la Spoti Xtra👉https://bit.ly/3d8qcYV AU SpotiXtra👉https://bit.ly/3d8qcYV ....

READ MORE

Mabingwa wa Nchi Yanga Walamba Madili Ya Bil. 10.9 kwa Miaka Mitano-Video

KLABU ya Young Africans ya jijini Dar Es Salaam, leo Septemba 12, 2022 imesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni...

READ MORE

Kiungo Fundi Yanga Ananukia Fedha Mshahara Wake Gumzo Jangwani

IMEBAINIKA kuwa, kiungo wa Yanga, Mrundi, Gael Bigirimana, alijiunga na timu hiyo kwa dau lililotajwa kuwa ni dola 85,000 ambazo...

READ MORE

Live: Msafara wa Mfalme Charles III Wawasili Bungeni Kupokea Salamu za Rambirambi

MFALME Charles wa III wa Uingereza leo Septemba 12, 2022 anatarajiwa kuhutubua Bunge la Uingereza kwa mara ya kwanza tangu...

READ MORE

Azimio Wamlaumu Rais Kenyatta Kumuangusha Raila Odinga Urais Kenya

  WANASIASA wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya, sasa wameanza kumlaumu  Rais Uhuru Kenyatta huku wakidai alisababisha mgombea...

READ MORE

Mashambulio ya Urusi Yasababisha Kukatika kwa Umeme Ukraine

RAIS wa Ukraine Volodymyr Zelensky amesema kuwa mashambulio yanayofanywa na Urusi yanalenga maeneo muhimu yanayozalisha  umeme hali inayosababisha kukosekana kwa...

READ MORE

Wiki ya Usiku wa Mabingwa Kutimua Vumbi, Meridianbet Wana Mzigo Wako

Kabla ya kuanza usiku wa mabingwa, leo utashudia mechi mbili kali za Ligi ya Serie A na La Liga, Raundi...

READ MORE

Marekani Yaadhimisha Miaka 21 Tangu Shambulio Kubwa la Kigaidi ‘Septemba 11’

Rais wa Marekani Joe Biden na Makamu wa Rais Kamala Harris wamewaongoza Wamerekani kuadhimisha miaka 21 tangu kutokea kwa shambuliao...

READ MORE

Rais Samia: Bunge Litakalokaa Septemba Kupitisha Bima ya Afya kwa Watu Wote

Rais Samia Suluhu Hassan katika adhimisho la jubilee ya miaka 50 ya WAWATA akiwa kama mgeni rasmi alisema serikali inakuja...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la Championi leo Sep-12, Kwa nusu bei tu Gazeti la Championi👉https://bit.ly/3B5KKcE AU Championi👉https://bit.ly/3B5KKcE . 👇...

READ MORE

Nafasi ya Kazi ICAP Tanzania , Field Implementation Manager (FIM)

Field Implementation Manager (FIM) (1 position) Job no: 496676 Position type: Regular Full-Time Location: Tanzania – Mwanza Division/Equivalent: Tanzania School/Unit:...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Septemba 12, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Septemba 12 , 2022 Usipitwe na...

READ MORE

Wafanyakazi Wanawake GGML Wawafunda Kitaaluma Wanafunzi wa Kike Geita

  KATIKA jitihada za kuhakikisha jamii inanufaika kutokana na shughuli za uchimbaji dhahabu nchini, wafanyakazi wanawake wa Kampuni ya Geita...

READ MORE

Mamilioni Kiganjani Mwako na Bingo ya Parimatch

Kampuni ya michezo ya kubahatisha Parimatch imeamua kuwapa fursa mpya wateja wake kwa kucheza Casino kiganjani ambayo imesheheni zaidi ya...

READ MORE

NMB Yachangia Milioni 120 Kufanikisha Mkutano Mkuu wa 36 Wa ALAT

  Benki ya NMB imechangia kiasi cha shilingi milioni 120 kufanikisha maandalizi na kufanyika kwa mkutano mkuu wa 36 wa...

READ MORE

Rais Samia Anashiriki Jubilei Ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (Wawata) katika Uwanja wa Mkapa-Video

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akishiriki Jubilei ya Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA) katika...

READ MORE

Moses Phiri Ingizo Jipya Simba Aweka Rekodi Ligi Kuu Bara kwa Kufunga Mechi Tatu Mfululizo

MOSES Phiri, ingizo jipya ndani ya Simba SC, ameweka rekodi kwa nyota wote wapya waliosajiliwa msimu huu kwa timu za...

READ MORE

Wananchi, Viongozi Waanza Kuaga Mwili wa Malkia Elizabeth II Ukitoka Scotland – Video

SAFARI ya mwisho na ya simanzi ya Malkia Elizabeth II wa Uingereza, inaanza mchana wa leo ambapo jeneza lake linasafirishwa...

READ MORE