×

Mambo 10 Yaliyochangia Ubingwa wa Man City Premier 2021/22 …Soma Hapa

MANCHESTER City ilifanikiwa kutwaa taji la Premier League kwa msimu wa pili mfululizo wikiendi iliyopita chini ya Kocha Pep Guardiola....

READ MORE

Putin Ahimizwa Kufanya Mazungumzo ya Moja kwa Moja na Rais wa Ukraine Zelensky

Viongozi wa Ufaransa na Ujerumani wamemhimiza Vladimir Putin wa Urusi kufanya mazungumzo ya moja kwa moja  mazito na rais wa...

READ MORE

Mkurugenzi Mo Green International Afunika Mbaya Tamasha la Wafia Dansi

    USIKU wa kuamkia leo mashabiki wa muziki wa dansi walifurika Viwanja vya Gwambina Lounge zamani TCC Chang’ombe, Dar...

READ MORE

Diamond Apiga Shoo ya Kibabe Mwanza, Manara Apanda Stejini – (Picha+Video)

  Usiku wa kuamkia leo Mei 29, 2022 staa wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul “Diamond Platnumz” amefanya shoo yake katika...

READ MORE

Kisa Simba, Mshambuliaji Cesar Manzoki Agoma Kubaki Vipers ya Uganda – Video

HABARI njema kwa mashabiki wa Simba ni kuwa, Mshambuliaji wa Vipers ya Uganda, Cesar Manzoki, amegoma kusaini mkataba aliopatiwa na...

READ MORE

Zuchu Ambembeleza Diamond Jukwaani Mwanza, Mahaba Kama Yote.. Video

 Zuchu na Dianond wanepafomu pamoja katika show ya Diamond iliyofanyika usiku Jijini Mwanza, huku mastaa kibao wakihudhuria.. ⚫️ SIKILIZA...

READ MORE

Video: Picco Kikongwe Awa Teja – ”Nilitoa Machozi Niliposikia Nimekufa” | Mapito

 KARIBU kwenye kipindi cha MAPITO, Leo tumetembelewa na Staa mkongwe Bongo PICCO KIKONGWE aliyejipatia umaarufu kwa wimbo wake wa...

READ MORE

Ahmed Ally Aishiwa Maneno Baada Ya Kutinga Dar Usiku, Ataja Ujumbe Wa Mo Dewji.. -Video

 Simba SC wamewasili Dar wakitokea Mwanza baada ya kuchezea kichapo cha goli moja na Yanga katika mchezo wao wa...

READ MORE

Liverpool Watokwa na Machozi Baada ya Kushindwa Katika Fainali ya Kombe la Mabingwa

Msimu mzuri wa Liverpool uliwahi kutoa matarajio ya kuvutia matumaini ya kushinda mataji manne na kuisha katikati ya machafuko ya...

READ MORE

Mo Awapongeza Yanga, Ataka Uamuzi Mgumu Ufanyike Simba Kusonga Mbele

Baada ya mchezo huo, Rais wa Heshima wa Simba, Mohamed Dewji, aliandika kwenye mtandao wa kijamii kwamba: “Hongereni watani! Huu...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

JIpatie nakala ya Gazeti la Spoti Xtra kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa Tsh 300/= iOS...

READ MORE

Swissport Yatangaza Gawio Kwa Wanahisa Wake la Sh. 29.8

Kampuni ya usafirishaji wa mizigo ya swissport imetangaza gawio kwa wanahisa wake la Shilingi 29.8 kwa hisa kwa mwaka 2021...

READ MORE

Benki ya Exim Yakabidhi Msaada wa Madawati 100 Shinyanga

BENKI ya Exim Tanzania imekabidhi msaada wa madawati 100 yenye thamani ya Sh milioni 20 kwa Mkuu wa Mkoa wa...

READ MORE

Yanga Yatinga Fainali ya Kombe la FA, Yamsubiri Azam au Coastal Union

KLABU ya Yanga imefanikiwa kutinga fainali ya Kombe la Shirikisho la Azam baada ya kuifunga klabu ya Simba kwa jumla...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dkt Mwinyi Akutana na Jumuiya ya Wahindu

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi leo Mei 28, 2022 amekutana na Jumuiya...

READ MORE

Kijana Apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma ya Kumbaka Aliyemuahidi Kumuoa

MAHAKAMA ya Wilaya ya Makete mkoani Njombe imemsomea shtaka la ubakaji kijana Faison Alimajani Sanga (19) mkazi wa kijiji cha...

READ MORE

Rais Samia Kupokea Kombe la Dunia la FIFA, Dkt Abbas Asema Taifa Limeheshimishwa

TANZANIA imechaguliwa kuwa miongoni mwa nchi chache za Afrika ambako Kombe halisi la Dunia la FIFA linalotolewaa kwa nchi zinazoshinda...

READ MORE

Amref Yasisitiza Umuhimu wa Kupata Chanjo Ya Uviko-19

MKURUGENZI MKUU  wa Program ya  Kudhibiti na kuzuia magonjwa Amref Health Africa Tanzania Dkt.Rita Mutayoba amesema kuwa  Tanzania kwa ufadhili...

READ MORE

DC Gondwe Asisitiza Usafi Kinondoni ni Kila Siku na Ada ya Usafi ni kwa Kila Familia

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni Godwin Gondwe ameongoza kwa mfano katika zoezi la usafi lililofanika maeneo ya Kata ya Wazo,...

READ MORE

Mtendaji Atuhumiwa Kumiliki Genge la Uhalifu, Wananchi Wataka Kuteketeza Familia Yake

MTENDAJI wa Kijiji cha Idunda Kata ya Yakobi mjini Njombe Otimali Mbangala maarufu kwa jina la Mtendaji wa Tanzania ameibuka...

READ MORE