Ame Ally Azuiwa Singida
MCHEZAJI mpya aliyesajiliwa na Singida United, Ame Ally, amezuiwa kuitumikia klabu hiyo na Bodi ya Ligi ili kupisha uhakiki wa uhalali wa usajili wake.
Mchezaji huyo ambaye amewahi kuitumikia Azam FC, amezuiwa na Bodi ya…
