The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

balama

Aliyempa Tabu Manula Arejea

IKIWA zimebaki siku 12 za watani wa jadi Simba na Yanga kukutana Uwanja wa Mkapa habari njema kwa mashabiki wa Yanga ni kwamba aliyemtungua Aishi Manula bao kali akiwa nje ya 18 amerejea tayari katika ubora wake. Ni Mapinduzi Balama…

 Aliyeisumbua Zesco arejea Yanga

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mkongomani, Mwinyi Zahera, amemjumuisha kiraka wake Mapinduzi Balama kwenye msafara wa timu hiyo utakaoifuata Zesco Zambia. Yanga inatarajiwa kuvaana na Zesco Jumamosi hii kwenye Uwanja wa Levy Mwanawasa huko Ndola,…

Passport Yamuondoa Balama

IDARA ya Uhamiaji Tanzania imemzuia kiungo mshambuliaji mpya wa Yanga, Mapinduzi Balama kujiunga na kambi ya kujiandaa na mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Afrika. Yanga imeingia kambini Jumanne ya wiki hii huko Chuo cha…