The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Banka

Jembe la Yanga Lasaini Azam FC

INAELEZWA kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Issa ‘Mo Banka’ tayari ameshamalizana na mabosi wa Azam FC kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na kinachosubiriwa ni kutambulishwa tu. Kiungo huyo mara ya mwisho alionekana…

Bao la Banka Laua Askari

INAELEZWA bao la kusawazisha la kiungo wa Yanga, Mohammed Issa ‘Mo Banka’, limepelekea kifo cha shabiki wa timu hiyo sajenti Omari Minguya wa Jeshi la Magereza Kitengo cha Redio jijini Dar. Askari huyo ambaye inadaiwa kuwa…

Kiungo Yanga Yupo Hoi Zanzibar

KIUNGO mshambuliaji mpya wa Yanga ambaye bado hajafanikiwa kuonekana na uzi wa klabu hiyo, Mohammed Issa ‘Banka’ amefunguka kuwa kwa sasa yuko kwao Zanzibar akiuguza magoti. Banka alisajiliwa na Yanga hivi karibuni akitokea…