Jembe la Yanga Lasaini Azam FC
INAELEZWA kiungo mshambuliaji wa Yanga, Mohammed Issa ‘Mo Banka’ tayari ameshamalizana na mabosi wa Azam FC kwa kusaini mkataba wa miaka miwili na kinachosubiriwa ni kutambulishwa tu.
Kiungo huyo mara ya mwisho alionekana…
