Simba Queens yalipa kisasi kwa Baobab
TIMU ya Simba Queens imeendelea kuonyesha ubabe kwenye Ligi Kuu ya Wanawake ya Serengeti Lite, baada ya kuiadhibu timu ya Baobab mabao 6-0 kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar, juzi.
Mabao ya Simba yalifungwa Jackline Albert…
