Tshabalala Yamkuta Mazito Simba
AMA kweli hakuna ufalme unaodumu milele! Beki Mohammed Hussein ‘Tshabalala’ alikuwa kama mfalme wa nafasi ya kushoto msimu uliopita pale Simba na aliweka rekodi ya kucheza mechi zote za ligi, lakini mambo yamebadilika msimu huu, amepata…
