The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Beki Simba

Wasauz wamnyatia Mzamiru Yassin

TIMU za Bidvest Wits na Mpumalanga Black Aces za Afrika Kusini, zimeanza kumfuatilia kiungo wa Taifa Stars na Simba, Mzamiru Yassin ili ziweze kumsajili baada ya kuvutiwa na kiwango chake. Mzamiru ambaye kwa sasa yupo Afrika Kusini…

Tuzo ni Mali ya Simba SC leo

 Sweetbert Lukonge | Championi Jumatano | Habari LEO jioni tuzo mbalimbali za Ligi Kuu Bara msimu wa 2016/17, zitatolewa baada ya ligi hiyo kufikia tamati wikiendi iliyopita. Hata hivyo, Simba inatarajia kutikisa vilivyo safari…

Kessy: Nimefuata Makombe Yanga

 MUSA MATEJA NA SAID ALLY | CHAMPIONI IJUMAA | MAKALA NI mwaka mmoja na siku 10 zimekatika tangu aliyekuwa beki wa Simba, Hassan Kessy alipoachana na timu hiyo na kutua kwa wapinzani wao wakubwa, Yanga. Baada ya kukaa kwa siku…

Pointi 3 za Simba Kimenuka!

Sweetbert Lukonge | Championi Ijumaa | Habari SAKATA la beki wa Kagera Sugar, Mohamed Fakhi kudaiwa kucheza akiwa na kadi tatu za njano limechukua sura mpya na pointi tatu ambazo wamepewa Simba kutokana na tukio hilo, zimefika kwenye…

Mnyama Amtafuna Lyon Taifa

Na WILLBERT MOLANDI| CHAMPIONI IJUMAA| MICHEZO TIMU ya Simba, jana Alhamisi ilifanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya African Lyon katika mchezo wa Kombe la FA raundi ya sita kwenye Uwanja wa Taifa, Dar. Katika mchezo huo…

Mkude Afungukia Hatma Yake Simba Fc

Na OMARY MDOSE| CHAMPIONI JUMATANO| HABARI/ TANGAZO BAADA ya kukosekana kwenye mechi mbili mfululizo za Ligi Kuu Bara, hatimaye nahodha wa Simba, Jonas Mkude, ameibuka na kufunguka hatma yake ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na…