The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Ben Pol

Mke wa Ben Pol Afunguka Mazito

Wakati bado kuna sintofahamu juu ya ndoa yake na staa wa RnB Bongo, Ben Pol, mrembo tajiri wa Kenya, Anerlisa Muigai ametoa ujumbe mzito juu ya uhusiano wake wa kimapenzi. Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram, Anerlisa ameandika;…

Ben Pol Atoa Kauli kwa Mashabiki

MSANII nguli wa muziki wa R&B na Bongo Fleva, Benham Paul ‘Ben Pol’, amewashukuru mashabiki kwa kumpa ushirikiano kila anapotoa nyimbo yake mpya, huku akiwataka waupokee wimbo wake mpya unaoitwa 'Hiyo Ndo Mbaya' ambao uko katika…

Shehe Mkuu Dar amvaa Ben Pol

SHEHE Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salim amemvaa na kumuonya staa wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’ ambaye hivi karibuni zilisambaa picha mitandaoni ikisemekana amebadili dini kutoka Ukristo na kuingia Uislam.…

Ndoa ya Ben Pol Mambo Yanoga

DAR: UKISIKIA mambo ni moto, basi ujue ni moto kwelikweli baada ya Msanii wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’ na mchumba wake Anerlisa Muigai kuanza mikakati ya ndoa mapema kabla hata ya Corona kuisha. Ben Pol ambaye…

Uchumba wa Ben Pol watikiswa!

DAR ES SALAAM: “Mitandao ya kijamii imejaa watu wanaotamani kumuona mtu anaharibikiwa kisha wanasherehekea!” Hayo ni maneno ya mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’, Anerlisa Muigai akionesha kutikiswa kwa uchumba wao.…

KISHINDO NDOA YA BEN POL

DAR ES SALAAM: Ni kishindo! Kama alivyoahidi mrembo bilionea wa Kenya, Anerlisa Joseph Karanja Muigai kuwa ndoa yake na staa wa Bongo Fleva, Benard Michael Paul Mnyang’anga ‘Ben Pol’ itakuwa ni funiko bovu, mambo yameanza, Risasi…

UTAJIRI MCHUMBA WA BEN POL USIPIME

DAR ES SALAAM: Kama ulikuwa hujui, habari ikufikie kwamba, mchumba wa staa mwingine wa Bongo Fleva, Benard Michael Paul Mnyang’anga ‘Ben Pol’, Anerlisa Muigai ana utajiri si wa nchi hii, Ijumaa limeuchimba na kuuweka kibindoni wote!…

MCHUMBA AGOMA KUMZALIA BEN POL

 DAR ES SALAAM: Miezi michache baada ya kutambulishwa ukweni nchini Kenya, mchumba wa staa wa Bongo Fleva, Benard Paul ‘Ben Pol’, Anerlisa Muigai amegoma kumzalia jamaa huyo.   Katika mahojiano yake na mitandao ya Kenya,…