×

Tag: Celebrities

WASAFI FESTIVAL: RAYVANNY ATAMANI KUPAFOMU MWANZA

IKIWA imebaki siku moja kuelekea siku ya Uzinduzi wa Wasafi Festival itakayofanyika Mtwara katika Uwanja wa Nagwanda Sijaona wikiendi hii,...

READ MORE

FAIZA: MTANIONA CHIZI, ILA BAADAYE MTANIELEWA

MSANII wa filamu na pia mzazi mwenzie na Mbunge wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi ‘Mr Sugu’ Faiza Ally amefunguka kuwa...

READ MORE

ESHA: NIKO TAYARI KULEA MTOTO WA NJE

MSANII wa filamu hapa nchini Esha buheti amefunguka kuwa ameishi na mume wake kwa takribani miaka 10 sasa, hivyo hata...

READ MORE

TIFFAH AWANYOOSHA WATOTO WA KIM, KANYE WEST

WAKATI baadhi ya wasanii wakubwa tu Bongo wakishindwa kufikisha wafuasi laki tano katika Mtandao wa Instagram, mtoto wa staa wa...

READ MORE

WATOTO WA MASTAA WANAOTIKISA MITANDAONI – VIDEO

MITANDAO ya kijamii kama Instagram, Facebook, Twitter, YouTube, Vimeo, Snapchat na mingineyo mingi, hivi sasa ni biashara kubwa mno duniani....

READ MORE

SHILOLE AWAPA SOMO MASTAA WALIOMUIGA

KUTOKANA na wimbi la mastaa wa kike kuzidi kujiingiza kwenye upikaji wa vyakula ‘mama lishe’, staa wa muziki na filamu...

READ MORE

IRENE MWAMFUPE KUANDIKA HISTORIA J’PILI

Irene MwamfupeM WANAMUZIKI wa Nyimbo za Injili, Irene Mwamfupe, anatarajia kuandika historia kubwa Jumapili hii katika uzinduzi wa albamu yake...

READ MORE

MADEMU 5 WA DIAMOND USO KWA USO MTWARA !

MADEMU ambao walishawahi kutoka kimapenzi na mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ wanatarajia kukutana kwenye tamasha kubwa la Wasafi...

READ MORE

ODEMBA KUMZALIA DIAMOND MTOTO WA 4!

 HISIA! Mwanamitindo anayeipeperusha vyema Bendera ya Tanzania duniani, Miriam Odemba, ametoa lililoko moyoni mwake kwa kusema, yupo tayari kumuongezea Staa...

READ MORE

MAMA MWENYE NYUMBA AMNYOOSHA GIGY MONEY

DAR ES SALAAM: Baada ya msanii wa Bongo Fleva, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kuhamia kwenye nyumba mpya aliyopanga maeneo ya...

READ MORE

BABA DIMPOZ AMCHAGULIA MKE MWANAYE

BABA mzazi wa staa wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Faraji Nyembo ameibuka na kumchagulia mwanaye mke atakapofikia wakati...

READ MORE

NISHA AMFANYIA KITU MWANAYE CHINA

LICHA ya watu wengi kulalamika maisha magumu, msanii wa filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ hivi karibuni aliamua kufanya kufuru...

READ MORE

LAVALAVA AFUNGUKA KUMTELEKEZA MWANAMKE

HITMAKER wa Go Gaga kutoka Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Abdul Iddi ‘Lava Lava’ amefungukia tetesi za kuwa amemtelekeza...

READ MORE

LYNN; KUTOKA USWAHILINI HADI KUMILIKI MAGARI 4 YA KIFAHARI

MAISHA ni safari ndefu, unaweza kuanzia kwenye maisha mazuri ukaishia kwenye mabaya au ya kawaida lakini pia ukaanzia kwenye mabaya...

READ MORE

MPAKA MAREKANI? AY ANATISHA!

 WASANII wa Af­rika ambao katika miaka ya hivikaribuni wamepata umaarufu sana na kusi­fika kwamba ni matajiri ni Davido na P...

READ MORE

MTOTO WA ROSE MUHANDO AKABIDHIWA TUZO TATU ZA GOSPEL

Mtoto wa muimbaji nyimbo za Injili, Rose Muhando, Annoint Amani,  jana amekabidhiwa tuzo tatu baada ya kufanya vyema kwenye muziki...

READ MORE

ESMA AANIKA BATA LA MAMA D, MUMEWE DUBAI

 MWANAMAMA maarufu kwenye mitandao ya kijamii (socialite) ambaye ni dada wa staa wa Afro- Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Esma...

READ MORE

NANDY AMNASA BWANA WA WEMA

HABARI ya mjini kwa sasa ni kuhusu madai ya msanii wa kike anayefanya fresh kwenye muziki Bongo, Faustina Charles Mfinanga...

READ MORE

MASTAA BONGO WANAOISHI NYUMBA ZA GHOROFA !

MASTAA kumiliki magari na vitu vya thamani limekuwa ni jambo la kawaida kwani tumekuwa tukiona wengi wakifanya hivyo. Lakini pia...

READ MORE

NAVY KENZO; KUTOKA BANDA LA UANI HADI GHOROFA LA MIL. 400

KWA wafuatiliaji wa burudani ni wazi watakuwa wanalikumbuka Kundi la Pah One lililokuwa likiundwa na vichwa hatari kama vile Igwe,...

READ MORE

HUKU AKITANGAZA KUPORA MUME WA MTU UWOYA AZUA TAHARUKI

BAADA ya kutangaza kuwa anataka kukwapua bwana wa mtu, staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya, amezua hofu ya aina yake...

READ MORE

PRETTY ACHEKELEA KUTAMBULIKA INSTAGRAM

MSANII wa filamu na muziki Bongo, Suzan Michael ‘Pretty Kind’ amejikuta akitoa ‘meno yote nje’ baada ya kutambulika kwenye Mtandao...

READ MORE

MAYWEATHER ATAKA MILIONI 345 KUZIPIGA NA KHABIB

Mayweather (kulia) na mdhamini Dana. BONDIA Floyd Mayweather amefikia makubaliano na mdhamini wa masumbwi, Dana White, kuzipiga na bondia Khabib,...

READ MORE

MUME WA AMBER RUTTY AIBUKA!

SIKU chache baada ya Abubakary Milenga, baba mzazi wa msanii aliyetikisa kwa skendo ya video ya ulawiti, Nascat Abubakar ‘Amber...

READ MORE

Cristiano Ronaldo Amchumbia Georgina Rodriguez!

NYOTA wa soka duniani,  Cristiano Ronaldo, anayekipiga na klabu ya Juventus na timu ya taifa ya Ureno amepata mchumba!  Vyombo vya...

READ MORE

KANYE ‘KUJENGA’ JUMUIA ISIYOTISHIKA NA JANGA LA MOTO

SIKU kadhaa baada ya ripoti kwamba rapa Kanye West na mkewe Kim, walikuwa wameajiri huduma ya zimamoto kujilinda dhidi ya...

READ MORE

QUICK ROCKA AFUNGUKIA KUDETI NA KIM NANA

MWANAMUZIKI wa Bongo Flava, Aboot Racka ‘Quick Rocka’ amefungukia madai ya kutoka kimapenzi na Video Queen Lilian Kessy ‘Kim Nana’,...

READ MORE

WEMA: AUNT HAJAWAHI KUNICHOKA

STAA wa filamu za Kibongo, Wema Sepetu ameibuka na kusema kuwa pamoja na mambo mengi ambayo yamekuwa yakimtokea, rafiki yake...

READ MORE

DIAMOND KAKUBALI KUJISHUSHA, VIPI KIBA?

MARA kadhaa nimekuwa siyo muumini wa kuamini kwamba eti Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ wakikubali...

READ MORE

KAJALA: PAULA AKINIZINGUA NAMFUNDISHA ADABU

KARIBU mpenzi msomaji ndani ya safu hii mpya kabisa ya Staa na Familia. Hapa tutakuwa tunakuletea mastaa mbalimbali ambao wamejaliwa...

READ MORE

SHILOLE AHAMIA KWAKE NA MKOSI

MWANAMAMA ambaye ni staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, wiki iliyopita alihamia kwenye mjengo wake mpya uliopo Majohe, Gongo...

READ MORE

AMBER LULU AFUNGUKA KURUDI KWA PREZZO

IN love again! Sexy lady wa Bongo Fleva anayefanya poa na ngoma yake ya Jini Kisirani’, Lulu Euggen ‘Amber Lulu’...

READ MORE

MENINAH: KULEA KUMENIPOTEZA

I AM back! Msanii wa kike wa Bongo Fleva ambaye ni zao la BSS 2012, Meninah Atik amesema alikuwa kimya...

READ MORE

FAIZA AIBUKA NA WANAOONGEZA MAKALIO

KAIBUKA! Mwanadashoti wa Bongo Movies asiyeishiwa vituko, Faiza Ally ameibuka na stori ya wanawake wanaoongeza shepu za miili yao hasa...

READ MORE

SISTER P AIBULUWA TENA

MKONGWE kwenye gemu la Bongo Fleva, Happy Pela ‘Sister P’ ameibuliwa upya kwenye muziki na mwanadada Matata ambaye ameamua kumsimamia...

READ MORE

BABY J : NIKIIBUKA MAFICHONI, NITAWASHANGAZA WENGI !

MWANAMUZIKI anayefanya vizuri Bara na Visiwani kupitia Bongo Fleva, Jamila Abdallah ‘Baby J’ amesema kwa sasa yupo mafichoni lakini yuko mbioni...

READ MORE

MAI: KWA BUTI LA ZARI, WABONGO TUMEKAA!

GHARAMA ya kiatu ‘buti’ alichokuwa amevaa mwanamama Zarina Hassan ‘Zari’ kwenye picha zake mpya Instagram, limemshitua Mtangazaji Maimartha Jesse ‘Mai’...

READ MORE

NANDY ASHEREHEKEA BETHDEI, AZINDUA ALBAMU YAKE

MWANAMUZIKI wa kizazi kipya, Faustina Charles maarufu Nandy,  usiku wa kuamkia leo amesherehekea siku yake ya kuzaliwa sambamba na kuzindua...

READ MORE

IRENE PAUL: SIMUAMINI MTU KULEA MWANANGU!

MSANII wa filamu Bongo Muvi, Irene Paul ‘Mama Wendo’, amefunguka kuwa hata siku moja haamini kumuachia mtu mtoto wake kwa...

READ MORE

SHAMTE AFUNGUKA KUISHI KWA MAMA DIAMOND

MAISALA Shamte ‘Anko’ ambaye ni mume wa mama wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ amefungukia madai ya...

READ MORE