JPM Aeleza Kitwanga Alivyomsumbua Ujenzi wa Barabara -Video
MGOMBEA urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli, amekumbuka jinsi aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Misungwi, Charles Kitwanga, alivyomsumbua kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya Usagara, ambayo hapo mwanzo haikuwepo.…
