Azam vs Yanga Hawachomoki aisee
Mfungaji wa goli la kwanza kwa timu ya Yanga, Hamis Tambwe (kulia) na Mfungaji wa Bao la pili, Simon Msuva wakishangia ushindi wao dhidi ya timu ya Azam katika Uwanja wa Taifa Kombe la FA.
Wilbert Molandi, Dar es Salaam
BONGE la mechi…
