Tabora: Basi la City Boy Lagongana na Fuso, 12 Wafariki, 46 Wajeruhiwa!
BASI la Kampuni ya City Boys limepata ajali ya kugongana na lori aina ya Fuso katika eneo la Makomero Tarafa na Wilaya Igunga Mkoa wa Tabora usiku wa kuamkia leo na kusababisha vifo vya watu 12 na wengine 46 kujeruhiwa.
…
