WAWILI WAONDOKA NA BODABODA SHIKA NDINGA YA EFM
WAKAZI wawili wa Dar es salaam, Ashura Ramadhan na Abbas Awadhi waliibuka kidedea baada ya kuwa washindi katika shindano la shika ndinga linaloendeshwa na kituo cha Redio cha Efm na Tv E.
Ashura Ramadhan mkazi wa Bunju alipiga…
