The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Dimpoz

Mtoto wa P Funk Amponza Dimpoz

MTOTO wa prodyuza maarufu hapa nchini anayemiliki studio ya Bongo Record, Paul Matthysse ‘P Funk’, Patricia, amemponza msanii wa Bongo Fleva, Omari Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ baada ya video zao kusambaa kwenye mitandao wa kijamii wakiwa…

Hapa Ndipo Mondi Anapowapoteza

KWA staili yake ya maisha, mafanikio na ushawishi, mwanamuziki kinara wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ni bingwa katika kiwanda cha burudani. Kwa furaha ya kuwa na mashabiki wengi hasa warembo, Diamond au Mondi ameyafanya…

 Mobeto Amponza Dimpoz

WANANZENGO siyo watu wazuri! Ile tabia ya staa wa Bongo Fleva, Omary Faraji Nyembo ‘Ommy Dimpoz’ kuwanyapianyapia warembo ambao walibanjuka penzini na staa mwenzake wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ imemtokea puani baada ya…

BABA DIMPOZ AMLIPUA BABA DIAMOND

DAR ES SALAAM: HII ni vita ya wakubwa! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya baba wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Faraji Nyembo kumlipua baba wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Abdul Jumaa kutokana na tabia…