Dkt Kigwangalla Adai Dhambi Aliyoifanya Dkt Bashiru Haistahili Huruma
MBUNGE wa Nzega Vijijini na aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamisi Kigwangalla ameibuka na kudai kuwa dhambi aliyoifanya Mbunge wa kuteuliwa na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM dkt Bashiru Ally kwa…
