Ushirikina Wampeleka Jela Mzee wa Miaka 60, Mahakama Yatoa Adhabu Kama Fundisho
KATIKA kutoa fundisho na kukomesha vitendo vya kishirikina vinavyobabisha migogoro ya kifamilia na Jamii na kupelekea mauaji mwendesha mashtaka wa Serikali aliiomba Mahakama kumpatia mshtakiwa adhabu kali ili iwe fundisho kwake na kwa…
