The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Jini Mauti

JINI MTU-03

Kwa mbali kabisa nikiwa sielewi A wala B  fahamu zangu zikiwa zimepotea, lakini kama nukta kumi ama kumi na moja  nikawa huru katika mikono ya yule kiumbe, nikawa nahema kwa tabu, nukta nyingine za kuhesabika nilihisi kama nashikwa mkono…

Jini Mauti-26

Ilipoishia wiki iliyopita Nilimwacha Michael aondoke lakini ukweli ni kwamba hata mimi mwenyewe nikaanza kumuonea huruma, alikuwa kijana mpole, hakustahili kukaripiwa, alikuja kwangu kwa ajili ya kunijulia hali tu lakini kutokana na hali…

Jini Mauti-25

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Karibu mrembo,” alinikaribisha na kutulia kitini.   Tukaanza kuongea, kila sentensi moja aliyoizungumza ilikuwa ni lazima kuniambia kwamba alikuwa akinipenda sana. Nilibaki nikimwangalia usoni. Si kwamba…

Jini Mauti-23

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Tulipofika katika eneo la nyumba yake, hatukukuta nyumba yoyote ile zaidi ya bahari iliyokuwa ikipiga mawimbi makubwa. Endelea... Tulishangaa sana, tulihisi labda tulikuwa tumekosea njia, tuliondoka na kurudi…

Jini Mauti-22

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Japokuwa mama alionekana kunitetea sana lakini alikuwa na wasiwasi mno, kila nilipomuona akiwa peke yake, mawazo yalimsonga na alionekana kufikiria mambo mengi sana. Ukweli ni kwamba mama alikuwa na wasiwasi…

Jini Mauti-21

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Nikaanza kuangalia huku na kule mle chumbani nilimokuwa peke yangu. Nikaanza kuvuta kumbukumbu ilikuwaje mpaka nikafika pale. Endelea... kwani nilichokikumbuka ni kwamba ulipita mwaka wa nne sikuwa nimeumwa…

Jini Mauti-20

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Nilisema huku nikilia mno. Hawakuniambia kitu chochote kile zaidi ya kuondoka. Katika kipindi chote hicho sikuwa nikijua kwamba bibi yangu aliniwekea jini mauti mwilini mwangu na kwamba kwa kila mwanaume ambaye…

Jini Mauti-19

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Tulikubaliana vipi?” “Nimezidiwa mpenzi, naomba unionee huruma.” Wakati akiniambia hayo, hakuwa ameacha kufanya alichokuwa akikifanya, aliendelea kuudadisi mwili wangu. Hali iliyoniweka katika hali mbaya na…

Jini Mauti-18

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Nilikasirika mno, sikuweza kuvumilia, kweli nilikuwa mchawi lakini sikutaka mtu aniambie kwamba mimi ni mchawi hivyo nikaanza kumfuata. Alijua kwamba namfuata yeye, alichokifanya ni kusimama kibabe na kuanza…

Jini Mauti-17

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Watu wanaposogea kule kulipokuwa na jeneza, kila mmoja alikuwa akimwagiwa unga usoni ili wale waliokuwa na nguvu ya kugundua kwamba yule aliyezikwa hakuwa mtu bali gogo au nyoka mkubwa, waweze kuuona mwili wa…

Jini Mauti-16

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Hata usiku wa siku hiyo tulipokutana kwenye uwanja wa wachawi, sikuonekana kuwa na furaha, nilionekana kuwa mnyonge sana, bibi alifahamu kila kitu kilichotokea, akaamua kunifuata. Endelea sasa... “Davina...”…

Jini Mauti-15

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Nyumbani kwao alikuwa yeye na mfanyakazi wa ndani tu, hakukuwa na mtu mwingine. Kweli nikaenda. Akanipokea kwa furaha, mabusu mfululizo, kilichofuata ni kwenda chumbani kwake. Mapigo ya moyo yalinidunda kwa…

Jini Mauti-14

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Aliponiachia na kugeuka, moyo wangu ukapiga paaa, alikuwa Thomas. Uso wake ulitawaliwa na tabasamu pana, alionekana kuwa mwenye furaha mno, nilipoyaangalia macho yake yalionesha ni jinsi gani alifurahi kuniona.…

Jini Mauti-13

JINI MAUTI ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Kwa nini mimi? Kwa nini Thomas amenikataa? Haiwezekani, ni lazima nimroge, ni lazima awe wangu kwa lazima...” nilijisemea huku nikilia darasani, hakukuwa na mtu aliyegundua hilo kwani niliegemea…

Jini Mauti-13

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Ghafla nikajihisi kuwa na amani moyoni mwangu pasipo kujua kwamba kumbe wakati huo ndiyo niliingiziwa Jini Mauti pasipo kujijua, kwangu, niliona nipo vilevile tu. ENDELEA NAYO... “Thomas...” “Naam!”…

Jini Mauti-12

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: “Thomas,” nilimuita mvulana huyo, alikuwa akiondoka kuelekea kwao, aliposikia nimemuita, akasimama na kugeuka nyuma, akaniangalia usoni. “Davina...” alilitamka jina langu, nikashtuka kuona kumbe alikuwa…

Jini Mauti-12

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Ndugu yangu, haya ninayokuandikia hapa yalinitokea, uchawi upo, uchawi unaua na katika miaka mingi ya kufanya uchawi, sikuona faida yake zaidi ya kupewa Jini Mauti ambalo liliyagharimu sana maisha yangu. SASA…

Jiji Mauti -11

ILIPOISHIA WIKI ILIYOPITA: Kwa mara ya kwanza nikamuona mama yangu akianza kulia, sikujua kilichomliza ila mara kwa mara alikuwa akimtaja bibi kwamba ilikuwa ni lazima amkomeshe. Sikujua alimaanisha nini na sikujua kwa nini alimsema sana…

Jini Mauti-10

ILIPOISHIA “Nasikia paka wananiita.” “Paka?” “Ndiyo mama.” “Wapo wapi?” “Huwasikii hao wanalia?” “Hapana!” “Mama! Nawasikia paka wakilia,” nilimwambia mama. ENDELEA Mama akasimama na kuelekea katika pembe ya nyuma, nikasikia…