The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

kutekwa

Wanne Watekwa na Al-Shabaab Kenya

Wakandarasi wanne wa Kenya waliokuwa wakifanya kazi zao katika eneo la Wel Garas, kaunti ya Wajir wamearifiwa kutekwa na kundi la watu wanaoshukiwa kuwa wanamgambo wa kikundi cha Al Shabab. Kamishna Msaidizi wa Kaunti ya Wajir…

WATOTO FAMILIA MOJA WATEKWA

DAR ES SALAAM: Wakati wimbi la watoto kutekwa likiendelea kutikisa nchini huku Jeshi la Polisi likiendelea kuwatafuta, watoto Kulthum Ally (7) na Hidaya Ally (5), wakazi wa Geita, wamedaiwa kutekwa katika mazingira ya kutatanisha kwa…

Wabunge Walia Mo Dewji Kutekwa

WABUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muuungano wa Tanzania wameguswa kwa hisia tofauti kufuatia tukio baya la kutekwa kwa mfanyabiashara maarufu nchini, Mohammed Dewji (MO) kisha kutokomea naye kusikojulikana leo alfajiri katika gym ya Colosseum,…