Waziri Mkuu Anayekabiliwa na Mauaji ya Mkewe Aondoka Nchini
WAAZIRI mkuu wa Lesotho Thomas Thabane anayekabiliwa na mashitaka ya kumuua mke wake wa kwanza Lipolelo Thabane hakufika mahakamani, wakati alitakiwa kufika mahakamani jana Ijumaa kusikiliza tuhuma zinazomkabili.
Mkewe wa…
