The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

LIGI KUU BARA.

Mabingwa Ndiyo Kwanza Tumeanza

“MABINGWA ndiyo tumeanza sasa!” Hiyo ni kauli ambayo ilitawala katika Dimba la Jamhuri, Dodoma kutoka kwa mashabiki wa Simba baada ya timu hiyo kupata ushindi wake wa kwanza katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Simba walianza…

Mwambusi Aingia Anga za Gomes

KATIKA kuhakikisha kikosi chake kinakuwa imara na tishio katika michezo ijayo ya Ligi Kuu Bara na Kombe la FA, Kaimu Kocha Mkuu wa Yanga, Juma Mwambusi ameongeza program ya mazoezi ya gym. Yanga imepanga kufanya vema msimu…

Wagosi wa Kaya Waicharaza Yanga Mkwakwani

VINARA wa ligi kuu bara Yanga leo Machi 4, wameshindwa kufurukuta katika dimba la mkwakwani jijini Tanga, baada ya kukubali kichapo cha mabao 2-1 dhidi ya wenyeji wa mchezo huo Coastal Union. Ikishuka dimbani mara ya 22,…

Simba Yaitungua Dodoma Jiji VPL

MABINGWA watetezi wa ligi  kuu Tanzania Bara Simba, leo Februari 4,wamefanikiwa kushinda mchezo wao ambao ulikuwa ni  kiporo, dhidi ya Dodoma Jiji baada ya kuifunga kwa magoli 2-1, mchezo  uliochezwa kwenye uwanja wa Jamhuri, Dodoma.…

Yanga Yaichapa JKT Taifa, Yazidi Kupaa Kileleni

Timu ya Yanga leo Novemba 28 imefanikiwa kuondoka na pointi zote tatu kwenye Uwanja wa Mkapa  jijini Dar, baada ya kuifunga JKT Tanzania ya Dodoma kwa bao 1-0 kwenye mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara. Goli pekee la timu ya…

Hizi Playoff za leo Patachimbika

LIGI Kuu Bara imemalizika lakini kuna mechi mbili ngumu za mtoano wa kuwania nafasi ya kucheza michuano hiyo msimu ujao zinapigwa leo Jumapili. Pamba itacheza na Kagera Jijini Mwanza huku Mwadui ikiwa mgeni wa Geita. Kocha…

Mvua yaitibulia Simba Dar

WAKATI Simba ikielekea hatua zake za mwisho kusaka ubingwa wa Ligi Kuu Bara jana ilishindwa kufanya mazoezi kama ilivyojipanga kutokana na mvua na foleni ambazo ziliwakwamisha wachezaji. Simba ilitua Dar siku ya…

Kagere, Okwi Wavamiwa Dar

WASHAMBULIAJI wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi na Mnyarwanda, Meddie Kagere juzi Jumamosi wamezua balaa ndani ya timu hiyo baada ya kumalizika kwa mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya African Lyon, na kujikuta wakivamiwa na…

Yanga sasa imekaa sawa

YANGA imewapa maneno matamu mashabiki wake kwa kusema sasa kikosi chake kimekaa sawa na kipo kamili kuweza kushinda mechi ya leo Jumamosi dhidi ya Lipuli FC. Yanga inacheza mechi hiyo ya Ligi Kuu Bara kuanza mzunguko wa pili ikiwa…