
Browsing Tag
LIPULI
Bocco Amuachia Balaa Dida
JOHN Bocco, nahodha wa Simba, ameacha balaa kwa Lipuli baada ya kuwafunga bao kwenye ushindi walioupata Simba mbele ya Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Februari 15 Uwanja wa Samora kwa kumtungua mlinda mlango Deogratius…
Kocha Yanga Alia na Harufu Vyumbani – Video
Kocha wa Klabu ya Yanga, Luc Eymael, amesema kuwa kulikuwa na harufu kali na isiyoeleweka katika vyumba vyao vya kubadilishia nguo leo Jumatano, Februari 6, 2020, katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam wakati mechi yao ya Ligi Kuu…
Lipuli Yanyemelea Wawili Simba SC
LIPULI FC wanaangalia uwezekano wa kuwachukua wachezaji wawili wa Simba kwa mkopo Yusuph Mlipili pamoja na Kennedy Juma katika usajili wa dirisha dogo utakaofunguliwa Desemba 16, mwaka huu.
Lipuli imejipanga kuhakikisha…
Gallas kumbadili Coulibaly Simba
BEKI wa kulia Simba, Zana Coulibaly huenda msimu huu ukawa wa mwisho ndani ya kikosi hicho baada ya uongozi kuwa katika harakati za kumsajili William Lucian ‘Gallas’ ili aje kuchukua nafasi yake.
Lakini pia inadaiwa wako kwenye…
Lipuli FC wapewa Sh mil 15 waifunge Yanga
KATIKA kuongeza morali ya wachezaji ili wawafunge wapinzani wao Yanga, uongozi wa Lipuli FC umewaahidi wachezaji wao shilingi milioni 15 kama wakifanikiwa kuwafunga. Yanga na Lipuli zinatarajiwa kuvaana leo Jumatatu katika mchezo wa…
Matola Aanika Alivyoibana Yanga
KOCHA Msaidizi wa Lipuli, Selemani Matola, amesema kuwa alitumia CD za Yanga kuwasoma mbinu zao pamoja na uzoefu alionao kwenye ligi kuwamaliza Uwanja wa Samora.
Lipuli juzi ilifanikiwa kulipa kisasi cha bao 1-0 lililofungwa na Heritier…
Lipuli FC Wakataa Nusu Mishahara, Wagoma
LIPULI kuna hali mbaya. Wachezaji wamegoma kufanya mazoezi kisa ni mishahara na fedha za usajili. Kwa mujibu wa taarifa ambazo imezipata Spoti Xtra, wachezaji hao wanadai mishahara ya miezi mitatu ambayo waliahidiwa kulipwa na viongozi wa…
Yanga Yaitungua Lipuli, Tazama Bao la Makambo – Video
Timu ya Yanga imeendeleza moto wake ndani ya Ligi kuu baada ya kufankiwa kushinda mchezo wake wa leo dhidi ya Lipuli uliochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.
Yanga wamecheza michezo tisa mpaka sasa wakiwa wameshinda michezo nane…
Baada ya Usajili Simba, Asante Kwasi Azua Mapya, Aingia Mitini
KLABU ya Soka ya Lipuli inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara (VPL) imesema mlinzi Asante Kwasi bado ni mchezaji halali wa kikosi hicho na alitakiwa kuripoti kambini tangu Desemba 16 mwaka huu lakini hajafanya hivyo hadi…
YANGA YASHIKWA SHATI NA LIPULI ZATOKA 1-1
FULL TIME
Dakika ya 94: Mchezo umemalizika kwa matokeo ya bao 1-1.
Dakika ya 93: Kwasi wa Lipuli anapewa kadi ya pili ya njano, anatoka huku akilalamika.
Dakika ya 90: Mwamuzi wa kwenye benchi anaonyesha dakika 4 za…