The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

LIPULI

Bocco Amuachia Balaa Dida

JOHN Bocco, nahodha wa Simba, ameacha balaa kwa Lipuli baada ya kuwafunga bao kwenye ushindi walioupata Simba mbele ya Lipuli kwenye mchezo wa Ligi Kuu Bara uliochezwa Februari 15 Uwanja wa Samora kwa kumtungua mlinda mlango Deogratius…

Gallas kumbadili Coulibaly Simba

BEKI wa kulia Simba, Zana Coulibaly huenda msimu huu ukawa wa mwisho ndani ya kikosi hicho baada ya uongozi kuwa katika harakati za kumsajili William Lucian ‘Gallas’ ili aje kuchukua nafasi yake. Lakini pia inadaiwa wako kwenye…

Matola Aanika Alivyoibana Yanga

KOCHA Msaidizi wa Lipuli, Selemani Matola, amesema kuwa alitumia CD za Yanga kuwasoma mbinu zao pamoja na uzoefu alionao kwenye ligi kuwamaliza Uwanja wa Samora. Lipuli juzi ilifanikiwa kulipa kisasi cha bao 1-0 lililofungwa na Heritier…