Mama ambana Diamond uhalali wa Tiffah
Mama wa staa wa muziki Bongo, Sanura Kassim ‘Sandra’.
Brighton Masalu
SINEMA limeanza! Sanura Kassim ‘Sandra’ ni mama mzazi wa ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ hivi karibuni anadaiwa kuingia katika figisufigisu na mwanaye…
