The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mama

Adaiwa Kumuua Mama Yake Kisa Mali

ZIKIWA zimepita siku kadhaa toka litokee tukio la kijana mmoja jijini Arusha kumuua mama yake mzazi Kwa tamaa ya Mali, Limegundulika tukio lingine la kinyama mkoani Kilimanjaro katika Manispaa ya Moshi ambapo binti mmoja aliejulikana…

Mama Amfanyia Mbaya Mwanaye

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina moja la Emakulata amemfanyia kitu mbaya mtoto wake wa miezi miwili kwa kumtoroka usiku wa manane. Taarifa zinaeleza kuwa mwanamke huyo mkazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam, alimwacha…

Ee! Mungu wangu!

EEE Mungu wangu! Hutaacha kusema hivyo ukifanikiwa kumuona Nezia Maregesi, mkazi wa Majita mkoani Mara ambaye ana uvimbe mguuni wenye zaidi ya kilo 50. Flora Lauo anayerusha kipindi cha Frola Nitetee kwenye Runinga aliliambia UWAZI kuwa…

Mjane Moro afanyiwa kitu mbaya

MOROGORO: Baada ya mumewe ambaye alikuwa mfanyabiashara maarufu wa madini mkoani hapa, Nyakatale Alphonce kufariki dunia miezi minne iliyopita, mjane ambaye ni mke wake mdogo wa marehemu, Koliden Msindi amedai kufanyiwa kitu mbaya na…

OHOOO! MAMA ASAULA UWANJANI

MAMA mmoja ‘jimama’ ambaye inasemekana ni mke wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Latifa, mkazi wa mjini hapa, ametia aibu kubwa baada ya kusaula nguo kwenye Fainali ya Michuano ya Ndondo Cup huku akimwacha mwanaye mchanga akiangua…

MAMA MLEMAVU AFANYIWA UKATILI!

AMA kweli watu wamekosa utu! Mama mmoja aliyetambulika kwa jina la Fatuma Hamis hivi karibuni alijikuta kwenye wakati mgumu baada ya kufanyiwa ukatili wa kutisha, Uwazi linakujuza. Mama huyo ambaye ni mlemavu wa viungo aliyedai…

Mume Amuua Mkewe kwa Jembe

HALI ya sintofahamu imewakumba wananchi wa Kitongoji cha Magharibi na wananchi wa Kijiji cha Mwibagi katika Kata ya Kyanyari, wilayani Butiama mkoani Mara baada ya mkazi mmoja wa kitongoji hicho, Fungwa Busia (47) kudaiwa kumpiga kwa…