Barbara: TP Mazembe ni Kipimo Sahihi
MTENDAJI Mkuu wa Simba, Barbara Gonzalez, amefunguka kuwa, kama wangetaka kushinda kirahisi mchezo wa kilele cha Tamasha la Simba Day, basi wangeialika timu dhaifu, huku akitamba kuwa mchezo wao dhidi ya TP Mazembe ni kipimo tosha…
