Waziri Ashutumu Fedha za Ujenzi Madarasa Kuhamishwa
NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Stella Manyanya, amelaani kitendo cha fedha zilizohamishwa kutoka Shule ya Sekondari ya Kambangwa Kinondoni Dar, na kupelekwa katika Shule ya Sekondari ya Mbweni bila utaratibu…
