Mganga Mkuu wa Serikali Atoa Taarifa Dalili za Kukohoa, Mafua
Wizara ya Afya, Maendeleo ya jamii, Jinsia Wazee na Watoto imesema kuongezeka kwa idadi ya watu wenye dalili za kukohoa, mafua, maumivu ya mwili na kuchoka, ni hali ya kawaida ya kila mwaka ambayo huchangiwa na mabadiliko ya hali ya…
