Mgombea Aangua Kilio Kwenye Mkutano wa Kampeni
MGOMBEA udiwani wa Kata ya Mumbaka, Masasi mkoani Mtwara, Salum Mwinyikheri, ameangua kilio mbele ya wananchi wakati akiomba kura.
Akihutubia wananchi wake kwenye mkutano aliouandaa, Mwinyikheri alianza kumwaga machozi na…
