MIMBA YA ‘MATAMBARA’ YAMUUMBUA HUSNA
MIMBA ya Husna Maulid ilikuwa ya kughushi. Imemuumbua baada ya kugundulika kuwa hakuwa nayo, badala yake alikuwa akiweka matambara tumboni kuonesha ana mimba. Kwa mujibu chanzo makini, Husna hakuwa na mimba, lakini alikuwa akiweka…
