WAZALENDO WAJITOLEA DAMU
Taasisi ya Wazalendo nchini kwa kushirikiana na Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Kitengo cha Mifupa na Fahamu (MOI) jana waliendesha zoezi la uchangiaji wa damu kwa hiyari ambapo mamia ya vijana wazalendo walijitokeza katika Viwanja vya…
