NYOTA SERENGETI AFUZU SOKA LA KULIPWA
NAHODHA wa Serengeti Boys, Morice Abraham amefanikiwa kufuzu majaribio yake ya kucheza soka la kulipwa katika klabu ya vijana (U17) ya Midtylland ya Dernmak.
Morice alirejea nchini hivi karibuni akitokea Denmark ambako alikuwa…
