×

Tag: Mpoto

Hatimaye Mrisho Aanza Kuvaa Viatu “Nimeitwa Mchawi”

MSANII wa tungo za mashairi hapa nchini Mrisho Mpoto maarufu kama “Mjomba“, ameposti picha mtandaoni ikimuonesha amevaa viatu huku akiwauliza...

READ MORE

Mrisho Mpoto Akunwa na Programu ya Waziri Lukuvi

  MWIMBAJI wa muziki wa asili, Mrisho Mpoto ambaye amekuwa kioo cha jamii kutokana na kazi yake ya nyimbo za...

READ MORE

WASANII WAANDAA WIMBO WA USIKU WA KITENDAWILI

WASANII wa muziki wakiongozwa na msanii wa Muziki wa Asili, Mrisho Mpoto wameandaa wimbo maalumu ambao utaimbwa Usiku wa Kitendawili...

READ MORE

JPM, MPOTO KUKUTANA KAMPENI YA UZALENDO NA UTAIFA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Mgufuli anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye uzinduzi wa Kampeni ya...

READ MORE

Mrisho Mpoto Atua Nanenane Arusha

  Msanii wa muziki, Mrisho Mpoto ambaye pia ni Balozi wa Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro  baada ya wiki hii...

READ MORE

MASTAA WAPEWA KIBANO NA TRA

  IMEFICHUKA! Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imeweka wazi kuwa kwa sasa inakula sahani moja na kuwapa kibano kikali mastaa...

READ MORE

UJIO MPYA WA MPOTO NA CASSIM MGANGA HAUTAMUACHA MTU SALAMA!

  Baada ya kufanya vizuri na kibao chake cha Sizonje, mwanamuziki wa miondoko ya Asili, Mrisho Mpoto ‘Mjomba’ ambaye aliamua...

READ MORE

Ubalozi wa Kuwait Watatua Shida ya Maji Kwa Wanafunzi 5600 Dar

DAR ES SALAAM: Balozi wa Kuwait nchini Tanzania Mhe. Jasem Al-Najem amezindua mradi wa visima vya maji kwa ajili ya...

READ MORE

Ujumbe wa Mpoto Wahusishwa na Baa la Njaa

Mrisho Mpoto akiwa Global Tv Online Mwanamuziki wa Muziki wa Asili Bongo na mtumbuizaji kwa staili ya kughani mashairi, Mrisho...

READ MORE

Mpoto: Afungua kampuni na kuwaweka warembo tu

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu na ya kusisimua ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale alipotoa siri ya kwa...

READ MORE

Simulizi ya Mrisho Mpoto: Manji Amuomba Kugombea Ubunge, Amtosa

MPENZI msomaji wa simulizi hii tamu ya Mrisho Mpoto, wiki iliyopita tuliishia pale alipoanika baadhi ya mali zake na pia...

READ MORE