Wilaya ya Mpwapwa Kufanya Harambee ya Kupata Madawati Dar
Mkuu wa Wilaya ya Mpwawa iliyopo mkoani Dodoma, Mohamed Utaly (wa pili kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, kuhusu harambee ya kupata fedha za kununulia madawati itakayofanyika Juni 4…
