Mtoto wa mjini naishi kama digidigi!
Ukisikia sentensi imeanza na Wahenga walisema…usiipuuze. Hawa wazee wa zamani walitunga misemo enzi hizo wakati hata baiskeli hawaijui, lakini maneno yao mpaka leo kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia yana uzito uleule.
Mimi hapa…
