
Browsing Category
Vichekesho
Oya mwana Dom tunakuja, umeshindwa penalti, kona utaweza?
Oya masela inakuwaje hapo kitaa cha Dom? Ndo kama hivo tunahamia suuni so kaeni mkao wa kumpokea Mpeke! Pande hizi ni mpango mzima arifu. Sema tu kama ulivyosikia, kitaani ni mwendo wa kula wepesi tu kozi laifu linazidi kutaiti deili.
Kuna…
Mshua, Tupe Mizigo Yetu!
Wiki iliyopita nilikuwa Mtwara natafuta fursa ili nami niwe pedeshee, nilipe kodi na nimiliki kavideo-kwin ka nguvu niweke heshima mtaani. Unajua mwaka jana ilikuwa ukitaka kuweka heshima uwe na Bongomuvi, mambo yameshageuka sasa ni ishu ya…
Oya mwana… kaza buti safari ni ndefu!
Inakuwaje masela wangu wa kitaa hicho? Kipande hii ni gudi au guda kabisa wanakwetu. Ebana tangu nimebonyea lasti wiki naona kama nimewamisi kinomanoma watu wa Saa Godi. Au ninyi hamjanimisi nini na nini, mbona naona dizaini kama…
Oya masela mchezo huu hauhitaji hasira!!
Mambo veepe masela wangu? Ebana ndo kama hivo mtu fedenge ndo hivo mitikasi inaendelea kama dawa kama kawiz ama nene majembe yangu ukwehe? Basi ni mpango mzima, kaa humu mwanakwetu upate vitu adimu vya tauni bana. Kwani kuna chama letu…
Oya mwana Kobe hapimwi homa!
Inakuwaje masela na maduu wote kwa kitaa ya kona mbaya? Ni waya? Laifu linakwendaje majamaa? Kipande hii mambo flengaflenga haina kwere aisee arifu. Ama nene? Kaa huku mtu mzima nimeshatimba kwa jamvini kukupa maujanja. Welikamu kwa sana…
Oya masela gunia tupu halisimami!
Makachaa na maduu wangu niaje…ni vepe? Wooza! Kipande hii ni shwari ileile. Ndo kama hivo mtu mzima nimeshatimba kwa fasi ya jamvini kukinukisha. Ebana mambo ya holidei ya kitu cha Pasaka si yalikuwa yechuyechu kwenye mstari machalii? Dah!…
Mzamiaji harusini utamjua tu
ZAMANI ilikuwa nadra kwa mtu kuzamia kwenye harusi bila kuwa na mwaliko lakini siku hizi suala hilo limekuwa dili sana hususan harusi zile za wenye kipato cha kati. Wapo wanaozamia kwenye harusi hizo na ukitaka kumjua mzamiaji ni rahisi.…
Amnyatia mkewe akioga
Baada ya wiki iliyopita kuwaelezea nilipotinga kijijini kwetu na kuopoa totoz. Leo hii tunaendelea tena na kona yangu ya Zee la Chabo.
Unajua toto lilikuwa jeupe utafikiri limeumbwa mchana kweupe. Kila alipoulizwa juu yangu alikubali bila…
Chezea waosha magari wewe!
Sasa jamani mbona hivyo tena? Mi sio mhariri wa hili gazeti sasa mbona mnaniletea maswali magumu? Yaani kuna mdada kanitumia barua juzi anataka ushauri nimebaki nimeduwaa sina la kusema kabisa. Ninachoweza kusema ni kuwa sasa nina uhakika…
Binamu, zingatia haya Daisalamu
Leo asubuhi nimeletewa barua binamu yangu anataka kuja kunitembelea huku Daisalamu. Nimefurahi sana sijamuona siku nyingi, lakini ngoja nimuandikie barua ajitayarishe kisaikolojia na vituko vya Daisalamu.
Binamu yangu mpendwa,
vipi…
Oya mzazi… kikapu cha sadaka hakitoi chenji!
Inakuwaje wanyama wangu? Ebana ndo kama ivo kitaani kumenuka mbaya aisee chaliiangu! Pipo hawasomeki kabisa si unajua mambo ya kutumbuliwa majipu? Mazee washua kibao matumbo yapo hoti kinoma kozi famile nazo hazina uhakika wa lile laifu la…
Oya mwana…. utasubiri sana dodo chini ya mwarobaini!
Mambo vepe masela na wana wote wa kitaa cha bee. Si ni mzuka arifu? Kwani nini mbaya? Basi kipande hii haina kwere machizi wangu. Kama vepe njooni saidi hii tupige mastori yetu dizaini tujue tunachomokaje sasa mazee?
Wanangu si mbishe za…
Oya mwana watu mbwembweee…. mwisho wa nyodo!
Inakuwa nini sasa masela? Kama vepe kitaani ni mpango mzima. Mambo ya mboyoyo mingi tupa kule. Ebana welikamu kwa sana kwenye mastori yetu ya ubaoni. Ndo kama hivo jeshi la mtu mmoko nipo ubaoni rede kwa kuwapa skonga la kitaa. Si ndo hivo…
Oya masela Valentine hiyooo… meli ya sumu haina bandari!
Wakuu inaku-waje? Naamni ni mpango mzima na mishe zinasonga ileile. Naona pipo wanahaso si kitoto dheni tajeti hapa ni mkono uende kinywaji na mabovu yawepo mifukoni. Ama nene masela wangu. Ebana kila kichwa kisambaze lavu kwa mai namba…
Anaswa akichana wavu wa dirisha
Jamaa mmoja aliyejulikana kwa jina la Athumani mkazi wa Keko Mwanga, jijini Dar amenaswa akichana wavu wa dirisha la nyumba moja mtaani hapo na kushushiwa kipigo cha kufa mtu hali iliyomfanya ajitetee na kudai kuwa alikuwa akichana wavu huo…
Oyaa wadada wa redio, dili hilo!
UZURI wa sie Wabongo tunajali sana ndugu zetu, na hasa sie wa kizazi cha zamani ambao bado tuna mawasiliano na ndugu zetu kijijini. Tunajua kabisa usipomtendea vizuri ndugu yako toka kijijini, akirudi huko anaweza akatengeneza mambo fulani,…
Oya mwana… ukizoea kupanda punda, farasi huwezi!
Masela inakuwa nini watu wa Saa Godi? Ebana kwenye kitu cha mwezi dume nimejifunza mambo kichizi kutoka kwa makachala. Ilikuwa noma sana aisee arifu kozi pipo walikuwa hawatokei kijiweni au ubaoni kabisa mazee. Bati Mungu mkubwa kozi…
Oya masela kama vipi bora mkoa… Bongo lazima utumie ubongo
Niaje niaje cha-ma langu la ukwehe? Inakuwa nini sasa kitaa hiyo? Kipande hii ni mpango mzima, kitu kanyaga twende bati masti utumie maakili siyo kwenda-kwenda tu bila madaireksheni. Welikamu kwa sana kwa fasi ya jamvini tukinukishe wazazi…
Oya Mwana Usifanye Bifu na Mtu Fanya na Shetani!
Mambo vipi wazazi? Kama mpo biyee si ndo mpango mzima? Mi nipo striiti kitambo kinoma so nanyaka nini kinahapeni sasa hivi kozi kitu cha mwezi dume kinazingua ileile bati msikate tamaa masela, iwe ni chalenji dheni tuongeze kuhaso kozi…
Vunja Mbavu
Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.
Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?
Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.
Hata Moshi ni mji lakini hautokani na moto
Hata uwe na…
Wewe Nitakupeleka Polisi
Padri alikuwa akiwaungamisha waumini wa kanisa lake huku kila mmoja akitaja dhambi zake waziwazi moja baada ya nyingine kisha padri anawaombea kwa Mungu na kuwataka wasirudie tena. Ikaja zamu ya muumini mmoja…
“…dhambi zangu ni hizi……
Je, Kuna Marehemu Yeyote Aliyewahi Kutoroka?
Mchungaji Ambakisye aliitisha mkutano na waumini wake wenye lengo la kuchangisha pesa kwa ajili ya kujenga ukuta wa kuzunguka makaburi ya kanisa lao.
Mchungaji akawaambia waumini wake kuhusu nia hiyo, nao wakakubaliana kwa pamoja,…
Unachepuka? Soma hapa!
Kuna hiki kidude ambacho siku hizi karibu kila mtu anacho. Wakubwa wadogo, wazee na vijana, wake kwa waume, lakini kimekuwa ni shiiida. Kinasumbua sana watu wengi. Mtu unakuwa huna raha kabisa shauri ya kidude hiki? Jamani Why?
Kidude…
Unanunaje kwa kosa dogo? Unamkata stimu bhana!
Mashosti za mwaka mpya, nimefurahi kuuona mwaka, huenda mambo yakawa mazuri kwani kila msimu una mambo yake, kungwi sizeeki ujuzi ingawa miaka inaenda.. kwa nini nizeeke ujuzi wakati ng’ombe hazeeki maini bwana, halooo.
Leo nina mada…
Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!
Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume. Mdada akitaka kunyoa nywele zake anamtafuta mdada mwenzie amnyoe nywele.
Vinyozi walikuwa wa aina kuu mbili…
Oya masela kuwadi wa waifu wa maskini ni hazibendi wake!
Mambo vepe wanangu wenyewe? Ndo kama hivo Saa Godi ametufikisha salama kwenye kukikata kitu cha mwaka so tunapaswa kumpigia saluti nini na nini ili kuonesha kumkubali kuwa ye ndo mpango mzima. Mpo hapo washkaji zangu wa ukweli? Kama vepe…
Majipu hadi kwenye ndoa?
Sasa mambo yamepamba moto, hii ishu ya kutumbua majipu imefika mahala pake dahh. Juzi nilipata kazi ya kuwa mshenga. Rafiki yangu f’lani ambaye mambo ya fedha kwake si tatizo, ila tatizo ni namna ya kuzitumia, kaniomba niwe mshenga wake.…
Oya jombaa… usifosi kiatu cha kushoto mguu wa kulia!
Inakuwaje wakali wangu wa nguvu? Oya masela barida? Basi kipande hii haina kwikwi chaliiangu. Ni mpango mzima makachaa wangu.
Ebana maandalizi ya kitu cha mnuso wa Eksimasi kwani vepee? Maana kama sielewielewi f’lani hivi. Naona pipo…
Ziara hizi za kushtukiza, khaa!
Mimi ni msomaji mzuri wa magazeti na msikilizaji mzuri wa redio, huwa naangalia runinga mara chache nikibahatika kupita mahala kuna runinga. Sasa wiki hii nimesikia mengi kuhusu hizi ziara za kushtukiza za viongozi wetu, nikaona hili ni…
Oya mwana… samaki haliwi kwa kijiko!
Oya masela inakuwaje washkaji zangu? Mpo biyee wanangu? Kitaa hii haina kwikwi wadau wangu. Basi kama vepe barida! Mazee welikamu kwa sana kwa fasi ya jamvini tupeane madini ya dizaini ya kurani hili laifu tafu.
Wanangu ndo kama hivo…
Mtoto wa mjini naishi kama digidigi!
Ukisikia sentensi imeanza na Wahenga walisema…usiipuuze. Hawa wazee wa zamani walitunga misemo enzi hizo wakati hata baiskeli hawaijui, lakini maneno yao mpaka leo kwenye ulimwengu huu wa sayansi na teknolojia yana uzito uleule.
Mimi hapa…