×

Vichekesho

Kato Alipojipachika Ubosi…

  Na Ben Kato KATO kijana wa mjini aliyetekwa na starehe lakini zaidi akihusudu pombe, anakutana na visa mbalimbali katika...

READ MORE

KUMBE UNATAKA? NJOO! ONA KILICHOMPATA KIJANA HUYU – VIDEO

Fuatilia kisa hiki cha uswazi kilichomkuta kijana huyu, kashindwa kuvumilia, uzalendo umemshinda, kashindwa kuhimili vituko vya mpangaji mwenzie, domo zege!...

READ MORE

NIMEKUWEKEA VICHEKESHO NILIVYOVISIKIA  MTAANI: VUNJA MBAVU!

MWALIMU: Alex, simba akianza kukufukuza utafanya nini? Alex: Nitapanda juu ya mti. Mwalimu: Je, na simba naye akipanda juu ya...

READ MORE

NIMEKUWEKEA VICHEKESHO ‘VINAVYOPENDWA’ MTAANI KWETU

Huku mtaani maisha magumu mpaka jamaa ananiuliza: “Hivi luku haina kifurushi cha chuo?”   Mlevi kakutwa akikojoa eneo la shule,...

READ MORE

KATIKA PITAPITA ZANGU NIMEKUTANA NA VICHEKESHO HIVI…

Unapoenda ukweni ghafla unaona wanakimbiza kuku bila kujua chochote unaropoka, “Jamani eeehh… huyo apikwe na wali” ghafla mama mkwe anakwambia...

READ MORE

Oya mwana Dom tunakuja, umeshindwa penalti, kona utaweza?

Oya masela inakuwaje hapo kitaa cha Dom? Ndo kama hivo tunahamia suuni so kaeni mkao wa kumpokea Mpeke! Pande hizi...

READ MORE

Mshua, Tupe Mizigo Yetu!

Wiki iliyopita nilikuwa Mtwara natafuta fursa ili nami niwe pedeshee, nilipe kodi na nimiliki kavideo-kwin ka nguvu niweke heshima mtaani....

READ MORE

Oya mwana… kaza buti safari ni ndefu!

Inakuwaje masela wangu wa kitaa hicho? Kipande hii ni gudi au guda kabisa wanakwetu. Ebana tangu nimebonyea lasti wiki naona...

READ MORE

Oya masela mchezo huu hauhitaji hasira!!

Mambo veepe masela wangu? Ebana ndo kama hivo mtu fedenge ndo hivo mitikasi inaendelea kama dawa kama kawiz ama nene...

READ MORE

Katuni

READ MORE

Katuni

READ MORE

Oya mwana Kobe hapimwi homa!

Inakuwaje masela na maduu wote kwa kitaa ya kona mbaya? Ni waya? Laifu linakwendaje majamaa? Kipande hii mambo flengaflenga haina...

READ MORE

Oya masela gunia tupu halisimami!

Makachaa na maduu wangu niaje…ni vepe? Wooza! Kipande hii ni shwari ileile. Ndo kama hivo mtu mzima nimeshatimba kwa fasi...

READ MORE

Mzamiaji harusini utamjua tu

ZAMANI ilikuwa nadra kwa mtu kuzamia kwenye harusi bila kuwa na mwaliko lakini siku hizi suala hilo limekuwa dili sana...

READ MORE

Amnyatia mkewe akioga

Baada ya wiki iliyopita kuwaelezea nilipotinga kijijini kwetu na kuopoa totoz. Leo hii tunaendelea tena na kona yangu ya Zee...

READ MORE

Katuni

READ MORE

Chezea waosha magari wewe!

Sasa jamani mbona hivyo tena? Mi sio mhariri wa hili gazeti sasa mbona mnaniletea maswali magumu? Yaani kuna mdada kanitumia...

READ MORE

KATUNI

READ MORE

Binamu, zingatia haya Daisalamu

Leo asubuhi nimeletewa barua binamu yangu anataka kuja kunitembelea huku Daisalamu. Nimefurahi sana sijamuona siku nyingi, lakini ngoja nimuandikie barua...

READ MORE

Oya mzazi… kikapu cha sadaka hakitoi chenji!

Inakuwaje wanyama wangu? Ebana ndo kama ivo kitaani kumenuka mbaya aisee chaliiangu! Pipo hawasomeki kabisa si unajua mambo ya kutumbuliwa...

READ MORE

Oya mwana…. utasubiri sana dodo chini ya mwarobaini!

Mambo vepe masela na wana wote wa kitaa cha bee. Si ni mzuka arifu? Kwani nini mbaya? Basi kipande hii...

READ MORE

Oya mwana watu mbwembweee…. mwisho wa nyodo!

Inakuwa nini sasa masela? Kama vepe kitaani ni mpango mzima. Mambo ya mboyoyo mingi tupa kule. Ebana welikamu kwa sana...

READ MORE

Oya masela Valentine hiyooo… meli ya sumu haina bandari!

Wakuu inaku-waje? Naamni ni mpango mzima na mishe zinasonga ileile. Naona pipo wanahaso si kitoto dheni tajeti hapa ni mkono...

READ MORE

Anaswa akichana wavu wa dirisha

Jamaa mmoja aliyejulikana kwa jina la Athumani mkazi wa Keko Mwanga, jijini Dar amenaswa akichana wavu wa dirisha la nyumba...

READ MORE

Oyaa wadada wa redio, dili hilo!

UZURI wa sie Wabongo tunajali sana ndugu zetu, na hasa sie wa kizazi cha zamani ambao bado tuna mawasiliano na...

READ MORE

Oya mwana… ukizoea kupanda punda, farasi huwezi!

Masela inakuwa nini watu wa Saa Godi? Ebana kwenye kitu cha mwezi dume nimejifunza mambo kichizi kutoka kwa makachala. Ilikuwa...

READ MORE

Oya masela kama vipi bora mkoa… Bongo lazima utumie ubongo

Niaje niaje cha-ma langu la ukwehe? Inakuwa nini sasa kitaa hiyo? Kipande hii ni mpango mzima, kitu kanyaga twende bati...

READ MORE

Oya Mwana Usifanye Bifu na Mtu Fanya na Shetani!

Mambo vipi wazazi? Kama mpo biyee si ndo mpango mzima? Mi nipo striiti kitambo kinoma so nanyaka nini kinahapeni sasa...

READ MORE

Vunja Mbavu

Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara? Ukichanganya wali na choroko...

READ MORE

Wewe Nitakupeleka Polisi

Padri alikuwa akiwaungamisha waumini wa kanisa lake huku kila mmoja akitaja dhambi zake waziwazi moja baada ya nyingine kisha padri...

READ MORE

Je, Kuna Marehemu Yeyote Aliyewahi Kutoroka?

Mchungaji Ambakisye aliitisha mkutano na waumini wake wenye lengo la kuchangisha pesa kwa ajili ya kujenga ukuta wa kuzunguka makaburi...

READ MORE

Katuni

 

READ MORE

Unachepuka? Soma hapa!

Kuna hiki kidude ambacho siku hizi karibu kila mtu anacho. Wakubwa wadogo, wazee na vijana, wake kwa waume, lakini kimekuwa...

READ MORE

Unanunaje kwa kosa dogo? Unamkata stimu bhana!

Mashosti za mwaka mpya, nimefurahi kuuona mwaka, huenda mambo yakawa mazuri kwani kila msimu una mambo yake, kungwi sizeeki ujuzi...

READ MORE

Siyo kinyozi tena, siku hizi ni saluni!

Hapo zamani za kale wakati wa enzi zetu, mkaka alikuwa akitaka kunyoa nywele anaenda kwa kinyozi na kinyozi alikuwa mwanaume....

READ MORE

Oya masela kuwadi wa waifu wa maskini ni hazibendi wake!

Mambo vepe wanangu wenyewe? Ndo kama hivo Saa Godi ametufikisha salama kwenye kukikata kitu cha mwaka so tunapaswa kumpigia saluti...

READ MORE