The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Nape Nnauye

Nape Nnauye Ajiuzulu

KATIBU wa Bunge, Ndugu Stephen Kagaigai amethibitisha kupokea barua ya mbunge wa Mtama Mh. Nape Nnauye kujiuzulu nafasi ya Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii ili aweze kujikita zaidi katika kuwatumikia wananchi wa…

Nape Aapa Kufia CCM

MBUNGE wa Mtama, Nape Nnauye (CCM), amesema kuwa hana mpango wa kuhamia chama chochote cha upinzani na ataendelea kubaki ndani ya CCM. Alisema hawezi kufanya uamuzi wa kuhamia katika vyama vya upinzani , huku akidai magari ya upinzani…

Alichokisema Nape Nnauye Kuhusu CCM

Usiku wa kuamkia leo Mbunge wa Mtama, Nape Moses Nnauye ameandika ujumbe wake wa wazi aliyowahi kuandika kipindi cha nyuma kuhusu CCM, lengo likiwa ni kuweka kumbukumbu sawa kwa watu kuhusu CCM. “Watu wengi wanaamini nimeisaidia sana…

Nape Nnauye Atia Neno Vurugu za CUF

Stori: Gabriel Ng’oSha |IJUMAA WIKIENDA DAR ES SALAAM: Kufuatia watu wanane kuibuka wakiwa na silaha na kusababisha vurugu kwenye mkutano wa viongozi wa Chama cha Wananchi (CUF), Wilaya ya kinondoni, Dar, Jumamosi iliyopita, Mbunge…