Mwanamke Adai Kudhalilishwa; Kisa Ndevu
THERESIA MUMBI ni mama wa mtoto wa kiume mwenye miaka saba, yeye ana miaka 34 , kazi yake ni utingo wa magari ya uchukuzi katika mji mkuu wa Nairobi nchini Kenya.
Lakini maisha yake huwezi kusema ni ya kawaida kama ya mwanamke…
