The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Ngassa

Ngassa, Yondani Wagoma Kuagwa

WACHEZAJI wa zamani waliocheza kwa mafanikio ndani ya Yanga, Mrisho Ngassa na Kelvin Yondani wamefunguka kuwa wao kwa sasa hawana mpango wa kuagwa na klabu yao hiyo kwa kuwa bado wanaendelea kucheza soka. Ngassa na Yondani…

Ngassa Apata Ofa Kwenda Nje

Kiungo mshambuliaji mkongwe wa Yanga, Mrisho ngassa amesema kuwa ana ofa nyingi hivi sasa kutoka timu za hapa nchini na nje ya nchi ikiwemo Zambia na kama mipango ikikaa sawa basi ataondoka Jangwani. Ngassa ameliambia Championi kuwa:…

Ngassa Kama Utani Katua Mbeya City

Kiungo mshambuliaji wa zamani wa Fanja FC, Mrisho Ngassa enzi akiwa Yanga. Wilbert Molandi,Dar es Salaam KIUNGO mshambuliaji wa zamani wa Fanja FC, Mrisho Ngassa, rasmi amesaini mkataba wa mwaka mmoja wa kuichezea Mbeya City kwenye…