Balozi Maimuna Tarishi Atoa Ufafanuzi Kuhusu Pori Tengefu la Loliondo Akiwa Ughaibuni
BALOZI Maimuna Tarishi, Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Umoja wa Mataifa, Geneva alimpongeza Bi. Michelle Bachelet kufuatia kumaliza kwa muda wake katika nafasi aliyokuwa akihudumu ya Kamishna Mkuu wa Baraza la…
