The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Nyumba

MGONJWA ABOMOLEWA NYUMBA KIMAFIA

KAZI ni kwako! Mkazi wa Kimara- Golani jijiji Dar, Esther Mpari ambaye ni mgonjwa wa presha amemlilia Waziri wa Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi baada ya nyumba aliyokuwa akiishi kubomolewa kibabe, usiku mnene na mabaunsa.…

MKEO SIKUMWITA, ALIKOSEA MLANGO

VYOMBO vimetupwa nje na baba mwenye nyumba. Si kwamba eti sijalipa kodi, la hasha! Ni sababu ndogo ya kipuuzi imepelekea yote haya. chondechonde baba mwenye nyumba, mkeo sikumwita. Saa nane usiku nikiwa nimelala katika…

Machi 17 Yateka Akili ya Wasomaji

Mwandishi wetu | CHAMPIONI|  Dar es Salaam MACHI 17, mwaka huu ambayo ni siku ya kuchezeshwa droo ya pili ya Bahati Nasibu ya Shinda Nyumba awamu ya pili, imeteka akili za wasomaji wengi wa magazeti ya Global Publishers wakikumbuka…

Mr. Shinda Nyumba Aibukia Keko Temeke

Afisa Masoko wa Global Publishers, Jimmy Haroub (kushoto) akimsaidia msomaji Jonathan Mchuruza wa Sokota, Temeke kujaza kuponi. Mr Shinda Nyumba akiwa na msomaji, Mama Hadija wa Sokota Wasomaji mama Hadija akiwa na mwenzake,…