Ombaomba wabuni mbinu mpya!
Watoto wakiwa kwenye harakati za kuomba.
Stori: Hamida Hassan na Mayasa Mariwata
Baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kutangaza kuanza kwa oparesheni ya kuwaondoa ombaomba mtaani, hali imezidi kuwa mbaya na sasa…
