Septemba 11, Ni Mungu Pekee ndiye Anajua Kilichotokea!
HABARI nyingi kupita kiasi, husumbua ubongo wa mwanadamu.Lakini kwa kutazama mambo kwa uangalifu, ni bora zaidi kuwa na habari nyingi kuliko kutokuwa na habari zozote. Au ni bora kuwa na habari nyingi kuliko kutokuwa na habari kabisa.…
