Usharobaro wamtokea puani Stan Bakora
Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’
Usharobaro umemtokea puani komediani wa Bongo, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’ baada ya kudondoka na kuumia mguu wa kulia wakati akifanya mazoezi ya kutumia Cyboard (Saibodi).
Ishu nzima ilitokea wiki iliyopita…
