×

Afya

Fahamu Madhara ya Kiafya ya Uvutaji wa Shisha, Jua Kabla Hujaanza Kuvuta

Katika jamii ya leo, uvutaji wa shisha umeonekana kuwa ni sehemu ya burudani, hasa miongoni mwa vijana. Wengi huamini kuwa...

READ MORE

Epuka Makosa Haya 9 Unaponunua Blueberries

Matunda ya blueberries ni miongoni mwa vyakula vinavyopendwa sana wakati wa msimu wa joto, si tu kwa ladha yake tamu...

READ MORE

Fahamu Vyakula 12 Bora Ambavyo Husaidia Kudhibiti Sukari Kwenye Damu

Kwa wagonjwa wa kisukari, kula vyakula sahihi ni muhimu si tu kudhibiti viwango vya sukari kwenye damu, bali pia kuimarisha...

READ MORE

Jifunze Kilimo cha Strawberry Aina, Mbinu na Faida

Strawberry (fukisadi) ni moja ya matunda yanayolimwa kwa faida kubwa, hasa kutokana na mahitaji yake ya soko la ndani na...

READ MORE

Mtaalamu wa Lishe Afichua Matunda Yasilofaa Kula Asubuhi

Mtaalamu wa lishe, Nichola Ludlam-Raine, amefichua aina ya matunda ambayo hayapendekezwi kuliwa mara kwa mara wakati wa kifungua kinywa, akieleza...

READ MORE

Fahamu Madhara ya Vyakula Vitamu Kupita Kiasi kwa Afya ya Figo

Watu wengi huamini kuwa kula vyakula vyenye sukari nyingi kunaweza kusababisha unene, kisukari na hata matatizo ya figo. Kulingana na...

READ MORE

Jinsi Ya Kudhibiti Kupanda Kwa Shinikizo La Damu

Shinikizo la damu ni msukumo wa damu kwenye kuta za mishipa. Shinikizo la damu laweza kupimwa kwa ukanda wa mpira...

READ MORE

Fahamu Kwa Nini Wataalamu wa Lishe Wanashauri Kula Korosho Mara kwa Mara

KOROSHO ni muhimu sana katika mwili wa binadamu. Kwa Tanzania zao hili hulimwa kwa wingi katika mikoa ya pwani hasa...

READ MORE

Njia 7 Rahisi Zinazosaidia Kwa Tiba ya Mafua Msimu wa Baridi Kali

Mwili unahitaji kuwa na kinga ya kutosha ili kakabiliana na maradhi mbalimbali hasa mafua ambayo huwapata watu mara nyingi katika...

READ MORE

Fahamu Tatizo la Vidonda vya Tumbo kwa Mjamzito

MJAMZITO anaweza kupata vidonda vya tumbo kabla au baada ya ujauzito.  Umakini unahitajika sana katika kumchunguza mama mjamzito ili kuelewa...

READ MORE

Faida za Kula Tende Wakati wa Mfungo wa Ramadhani

KUTOKANA na Mfungo Mtukufu wa Ramadhani baadhi ya waumini wa dini ya Kiislamu hula tende wakati wa kufuturu.Tende ni tunda...

READ MORE

Lishe ya Keto Yatajwa Kupunguza Msongo wa Mawazo (depression)

Ulaji wa lishe yenye mafuta mengi na wanga kidogo, maarufu kama lishe ya ketogenic (keto), unaweza kusaidia kupunguza dalili za...

READ MORE

Dalili za Upungufu wa Testosterone na Suluhisho Asilia Kwa Mwanamke

Testosterone ni homoni muhimu kwa mwanaume, lakini pia ipo kwa kiwango kidogo kwa mwanamke. Homoni hii ina mchango mkubwa katika...

READ MORE

Fahamu Jinsi Umeme wa Mwili Unavyoendesha Maisha Yetu ‘Unaweza Kukuua’

Binadamu wengi huufikiria umeme kama kitu kinachotoka kwenye nyaya, transfoma au radi. Hata hivyo, ukweli usiofahamika na wengi ni kwamba...

READ MORE

Dalili za Kiharusi cha Ubongo Kila Mtu Anapaswa Kuzijua

Ubongo wa mwanadamu ni kiungo muhimu ambacho kinategemea usambazaji wa damu unaoendelea. Kutatizika kwa mtiririko wa damu kunaweza kukata oksijeni...

READ MORE

Marekani Yajiondoa Rasmi WHO, Trump Atekeleza Amri ya 2025

Marekani imejiondoa rasmi katika Shirika la Afya Duniani (WHO) jana, Alhamisi, Januari 22, 2026, ikiwa ni utekelezaji wa amri ya...

READ MORE

Hizi Hapa Faida saba za Tango Mwilini Mwako

HAWANA makosa wale waliosema kuwa mboga za majani na matunda ni kinga kwa afya yako. Matunda mengi yana manufaa lakini...

READ MORE

Mambo 10 Muhimu Aliyoyasema Waziri Makonda Alipokabidhiwa Ofisi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ametoa kauli nzito jana wakati wa hafla ya kukabidhiwa ofisi kutoka...

READ MORE

Serikali Yazalisha Ajira Zaidi ya 1,400 Nje ya Nchi kwa Vijana na Wanawake

Serikali imefanikiwa kuzalisha ajira zaidi ya 1,400 za vijana na wanawake kwenda kufanya kazi nje ya nchi katika kipindi cha...

READ MORE

Faida za Kula Ufuta Kila Siku kwa Afya ya Mwili, Siri Nzito Ipo Hapa

UFUTA au kitaalamu Sesamum indicum, hustawi na hulimwa zaidi mikoa ya Kusini mwa Tanzania ya Lindi, Mtwara na sehemu ya...

READ MORE

Mwanaume Afariki Baada ya Kufuata “tiba” ya Mtandaoni, Familia Yafunguka

Mwanaume mwenye umri wa miaka 47 nchini Vietnam amefariki dunia baada ya kuacha kutumia dawa zake za shinikizo la damu...

READ MORE

Sababu Kuu za Maumivu ya Tumbo kwa Wanawake

Maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa wanawake yanaweza kusababishwa na matatizo mbalimbali mwilini yanayoweza kuwa sehemu yenye maumivu au...

READ MORE

Ridhiwani Kikwete Aitaka Sekretarieti Ya Ajira Kuharakisha Kuweka Wazi Mchakato Wa Ajira 12,000 Zilizotangazwa Na Rais Samia

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Ridhiwani Kikwete ameitaka Menejimenti ya...

READ MORE

Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025: NMB Yaahidi Kuongeza Ubunifu

  Benki ya NMB jana ilizindua rasmi maadhimisho ya Wiki ya Huduma kwa Wateja, huku ikiahidi kuboresha zaidi huduma zake...

READ MORE

Fahamu Hatari Kubwa Itokanazo na Mtu Kulala Usinginzi Kupindukia

WAKATI huu mgumu wa janga la virusi vya corona wengi ulimwenguni wamelazimika kutumia muda wao mwingi kukaa majumbani mwao ili...

READ MORE

Exim Bank Tanzania, JKCI Zashirikiana Kuimarisha Afya Ya Wafanyakazi

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim Tanzania, Stanley Kafu (kushoto), Afisa Masoko Taasisi ya Moyo...

READ MORE

Mipango Na Mikakati Ya Muhimbili Imefungamanishwa Na Matarajio Ya Dira Ya Taifa 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) ambayo pia ni Hospitali ya Ubingwa Bobezi nchini, Dkt. Delilah Kimambo amesema...

READ MORE

Mambo Sita Yasiyopaswa Kufanywa Wakati Wa Ujauzito… Soma Hapa

Kuna mambo mengi yasiyopaswa kufanywa na mjamzito na leo tutadodosa baadhi kama ifuatavyo: Kunywa Pombe Mwanamke mjamzito hapaswi kunywa pombe....

READ MORE

Fahamu Jinsi ya Kupata Mtoto wa Kiume, Kike

BAADA ya kuandika makala yangu kuhusu madhara anayoweza kupata mtu kwa kutofanya tendo la ndoa, nimepokea maswali mengi huku wengi ...

READ MORE

Fahamu Namna ya Kulala Vizuri Wakati wa Ujauzito

MOJA ya mambo muhimu licha ya hali unayopambana nayo kama mjamzito ni ambavyo unalala hasa katika miezi mitatu ya mwisho...

READ MORE

Magonjwa 10 Yasababishayo Maumivu Ya Tumbo Kwa Mjamzito

LEO nitakufahamisha sababu 10 zinazosababisha maumivu ya tumbo wakati wa miezi mitatu ya kwanza ya ujauzito kwani ni mojawapo ya...

READ MORE

Mambo Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuamua Kubeba Mimba!

MAANDALIZI  kabla ya ujauzito yanasaidia kumwezesha mama kuwa na afya bora wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua na kumwezesha...

READ MORE

Haya Husababisha Mwanamke Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

WANAWAKEwengi wamekuwa wakikosa hedhi na hali hiyo imekuwa ikiwaletea usumbufu mwingi wa kisaikolojia kwa waliowahi kukumbana na tatizo hilo.Tatizo la...

READ MORE

Athari za Kunywa Pombe kwa Mjamzito … Soma Hapa

KATI ya mambo ambayo wanawake wengi hawatilii maanani sana ni unywaji wa pombe wakati wa ujauzito licha ya kushauriwa na...

READ MORE

Sasa Hali Inatisha… Mawazo Yanaua Mamilioni ya Watu

‘USICHUKULIE POA… msongo wa mawazo unaua’. Hiyo ni kauli ya watalaam baada ya kubainika kuwa mtu mmoja kati ya watano...

READ MORE

Zifahamu Athari za Kunywa Pombe Kupindukia!

UNYWAJI wa pombe kupitia kiasi si mzuri kwa afya yako, kitu kilichothibitishwa kisayansi miaka kadhaa iliopita. Katika kipindi cha miaka...

READ MORE

Hizi Hapa Njia 9 za Kuimarisha Kinga ya Mwili Wako

UKITAKA kuimarisha kinga ya mwili wako ili kukabiliana na magonjwa ni lazima kufanya mabadiliko katika chakula na mtindo wa maisha...

READ MORE

Jinsi Ya Kuondoa au Kupunguza Mafuta Tumboni Kwa Wanawake… Soma Hapa

WANAWAKE wengi miaka ya karibuni wanakabiliwa na tatizo linalofanana na kitambi kwa upande wa wanaume. Hivyo ingekuwa ni wanaume tungesema...

READ MORE

Jinsi ya Kujua Kiasi cha Maji Kinachofaa kwa Mwili Wako, Soma Hapa

Maji ni msingi wa afya ya mwili. Yana jukumu la kusafisha sumu mwilini, kusaidia mmeng’enyo wa chakula, kulinda afya ya...

READ MORE

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Temeke Alivyozindua Dispensari ya Kisasa

Mganga Mkuu wa Manispaa ya Temeke, Dar es Salaam, Dk. Jonas Lulandala amezindua dispensari ya kisasa iitwayo HNS iliyopo Mtaa...

READ MORE