×

Afya

SULUHUSHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME-2

Wiki iliyopita niliianza mada hii ambayo inaonekana kugusa wengi juu ya tatizo la upungufu wa nguvu za kieme. SASA ENDELEA…...

READ MORE

GLAUCOMA; UGONJWA USIO NA DALILI UNAOSABABISHA UPOFU

 GLAUCOMA ni ugonjwa hatari sana na tata ambao huathiri seli za macho zinazosaidia kuona na huweza kusababisha mtu kupoteza uwezo...

READ MORE

MAUMIVU YA KIFUA NA TIBA YAKE

MauMivu ya kifua ni dalili inayotokea watu wengi mara kwa mara na kati ya sababu inayoleta watu wengi hospitali. Kuna...

READ MORE

AINA MBALIMBALI ZA MAUMIVU YA KICHWA!

KUUMWA kichwa kumegawanyika sehemu kuu nyingi sana, inaweza kutokea kwa kusababishwa na mtiririko wa damu kwenda kichwani au matatizo ya...

READ MORE

SABABU 6 ZINAZOFANYA MTOTO MCHANGA KULIA USIKU

 KWA mzazi yeyote anaelewa usumbufu unaotokana na mtoto anayelia usiku. Watoto wachanga wenye umri chini ya miezi 6 wanakuwa na...

READ MORE

SULUHISHO LA UPUNGUVU WA NGUVU ZA KIUME

KwA muda mrefu sasa huwa tunaandika tatizo hili na kutoa ushauri. Kwa muda mrefu sasa suala hili la unyumba linajadiliwa...

READ MORE

FAHAMU KINACHOSABABISHA MIGUU KUFA GANZI

 KATIKA mwili wa binadamu, kuna tatizo la kiafya ambalo huambatana na dalili za mtu kuhisi maumivu, kuhisi kuwaka moto na...

READ MORE

TATIZO LA KUWASHWA MWILI NA TIBA YAKE

KUWASHWA katika ngozi ya mwili ni kitu kinachomfanya mwanadamu kukosa utulivu kutokana na kero anayopata. Hutokea mwanadamu kukumbwa na muwasho...

READ MORE

KAMA UNATATIZO LA NGUVU ZA KIUME, HII INAKUHUSU

    UTAFITI wa hivi karibuni nchini Uingereza umebaini tatizo la upungufu wa nguvu za kiume na ubora wake wake...

READ MORE

KUHARIBIKA KWA CHUJIO ZA FIGO (GLOMERULONEPHRITIS)

KUHARIBIKA kwa chujio kitaalam glomerulonephritis ni aina ya ugonjwa wa figo unaoathiri sehemu maalum ya figo (chujio) inayohusika na uchujaji...

READ MORE

FAHAMU KANSA YA TITI, UZAZI, KISUKARI YANAVYOKUWA YAKURITHI

Kuna aina fulani ya magonjwa ambayo hupatikana katika familia,  mengine yanayotokana na kurithi na mengine kwa sababu familia hushiriki mazingira...

READ MORE

MAAJABU YA KIFAA CHA TIBA MPYA YA UKIMWI

JANGA la ugonjwa wa Ukimwi lililodumu kwa zaidi ya miaka 36 linaweza kufikia kikomo endapo tiba mpya iliyogundulika nchi Marekani...

READ MORE

MAGONJWA MA-4 HATARI KWA MAMA MJAMZITO

UJAUZITO mara nyingi huchangia mabadiliko mbalimbali ya mwili tangu mwezi wa kwanza hadi wa tisa mwanamke anapojifungua.    Katika kipindi...

READ MORE

FIGO ZINAVYOHARIBIKA KWA KISUKARI

UGONJWA wa figo unaotokana na kuharibiwa na kisukari hujulikana kitaalam kwa jina la Diabetic Nephropathy.  Moja ya madhara ya ugonjwa...

READ MORE

JINSI YA KUMJUA MTOTO MWENYE TUNDU KWENYE MOYO

Kama kawaida safu hii huwa tunajadili masuala mbalimbali yanayohusu afya na tiba ili kupata ufahamu zaidi juu ya kuimarisha afya...

READ MORE

JIFUNZE JINSI YA KUPATA WATOTO MAPACHA!-2

ILIPOISHIA; NJIA KUU MBILI ZA KUPATA MAPACHA Zipo njia kuu mbili zinazokuwezesha kupata mapacha, kwanza ni jinsi ya kupata mapacha...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI WAKATI WA SI MJAMZITO (AMENORRHEA)-2

WIKI hii tuendelea na mfululizo wa mada hii ya Tatizo la kukosa hedhi wakati si mjamzito, endelea… UCHUNGUZI NA VIPIMO...

READ MORE

MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO

Tafiti kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo...

READ MORE

UKWAJU HUZUIA SARATANI, HUPONYA NOYO, NYONGO

TUNDA la ukwaju lina faida nyingi sana kwa afya ya mwanadamu. Huweza kutumika kutengeneza juisi ambayo matumizi yake yana faida...

READ MORE

JINSI YA KUEPUKA MIMBA ZISIZOTARAJIWA-2

WIKI iliyopita nilianza kuelezea vipengele kadhaa kuhusiana na makala haya na wiki hii nitamalizia. DALILI ZA KUPEVUKA YAI NI ZIPI?...

READ MORE

JIFUNZE NJIA YA KUPATA WATOTO MAPACHA

Uzazi ni suala ambalo kila mtu aliye katika umri wa kuzaa analizungumzia. Mwanaume anaweza kuwa na tatizo la uzazi na...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI WAKATI SI MJAMZITO (AMENORRHEA)

KWA kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake...

READ MORE

JINSI YA KUEPUKA MIMBA ZISIZOTARAJIWA !

WANAWAKE wengi hawajui kuhesabu mzunguko wao wa hedhi na namna unavyoweza kutumika katika kuleta au kutoleta ujauzito.  Hata hivyo, ili...

READ MORE

GGM, TACAIDS Waanzisha Vituo vya Huduma za VVU na Ukimwi

TUME ya Kudhibiti Ukimwi nchini kwa kushirikiana na Kampuni ya Geita Gold Mine (GGM) imefanikiwa kuanzisha vituo vinne vya utoaji...

READ MORE

NJIA ZA KUEPUKA KISUKARI (DIABETES)

UGONJWA wa kisukari (diabetes) unaongezeka haraka sana na umekuwa janga ulimwenguni pote. Kuna aina kuu mbili za kisukari;  Aina ya...

READ MORE

FAHAMU MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO

TAFITI kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo...

READ MORE

MAUMIVU YA VISIGINO NA MAGOTI

Maumivu ya visigino na magoni ni tatizo ambalo huwapata watu wote, maumivu ya magoti yanaweza kuwa makali au yakawa kwa...

READ MORE

SABABU YA MAAMBUKIZI (INFECTION) YA SIKIO KWA WATOTO

MAAMBUKIZI au Infection ya masikio ni tatizo kubwa kwa watoto, sikio limejigawa sehemu kuu tatu ya ndani, nje na kati. ...

READ MORE

Kigwangalla: Fedha za Mlima Kilimanjaro Kutokomeza UKIMWI

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Dk. Khamis Kigwangala amesema anatarajia kuandaa utaratibu wa makundi ya watu mbalimbali wakiwamo viongozi mashuhuri...

READ MORE

MAGONJWA YANAYOSABABISHWA NA MAZIWA

IKIWA unahisi kichefuchefu, tumbo linasokota, linafura, lina gesi, au unaharisha baada ya kunywa maziwa au kula vyakula vinavyotengenezwa na maziwa,...

READ MORE

UPUNGUFU NGUVU ZA KIUME MATOKEO YA KUPATA SARATANI YA TEZI DUME

Upungufu nguvu za kiume matokeo ya kupata saratani ya tezi Saratani ya tezi dume hutokea na kuathiri tezi dume yenye...

READ MORE

FAHAMU MAKUNDI YA UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA)-2

Wiki hii tunaendelea mfululizo wa makala ya Fahamu makundi ya ugonjwa wa pumu, endelea kufuatilia… LAKINI pia upasuaji wakati wa...

READ MORE

VIAZI VITAMU VINAPUNGUZA KASI YA KUZEEKA, KISUKARI

VIAZI vitamu au mbatata vikiliwa vinastawisha mwili hasa ngozi bila kujali ni ya mwanamke au mwanaume hasa vile visivyowekewa vinasaba...

READ MORE

UGONJWA WA FIGO UNAOHUSIANA NA UKIMWI

WAGONJWA wa Ukimwi huathiriwa pia figo. Ugonjwa wa figo unaohusiana na Ukimwi (HIV-Associated Nephropathy au kwa kifupi HIVAN) unaweza kusababishwa...

READ MORE

HUWEZI KUAMBUKIZWA / KUAMBUKIZA VIRUSI VYA UKIMWI KWA NJIA HIZI

KUNA imani potofu kwamba kupata maambukizi ya Ukimwi ndiyo mwisho wa maisha. Hii si kweli, kwa kupima na kujitambua mapema...

READ MORE

FAHAMU AINA ZA UGUMBA (INFERTILITY); KUJIKINGA-2

 WIKI iliyopita wakati tunaanza mada hii, tuliona maana ya ugumba na aina zake. Ambapo kama mtakumbuka pia nilieleza sababu zinazosababisha...

READ MORE

CHUNUSI ZINAVYOHARIBU USO NA UHUSIANO NA TENDO LA NDOA

KUMEKUwepo na imani kwamba suluhisho la tatizo la chunusi ni kushiriki ngono. Katika makala haya leo tutaona kwa undani juu...

READ MORE

Kilimanjaro Challenge Yazinduliwa; GGM, Tacaids Zapata Bil 1.5 Kudhibiti Ukimwi

NAIBU Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Faustine Ndugulile jana 4, Juni 2019, amezindua zoezi...

READ MORE

ELEWA JINSI YA KUEPUKA KIFAFA CHA MIMBA (ECLAMPSIA)

Mjamzito aliyepata kifafa cha mimba kwenye ujauzito uliopita, ana uwezekano mkubwa wa kupata tena. Imegundulika kuwa iwapo mwanamke anazaa na...

READ MORE

VYAKULA VINAVYOSAIDIA KUPUNGUZA UZITO/UNENE !

MOJA kati ya matatizo yanayowakumba watu wengi kwa kizazi cha sasa ni tatizo la uzito. Tatizo hili limekuwa chanzo cha...

READ MORE