×

Afya

ATHARI KIAFYA ZA KUTOKUNYWA MAJI YA KUTOSHA!

WATU wengi wanadharau maji ya kunywa, wanaona kula ndio muhimu kuliko kunywa maji. Wanaona vinywaji vingine ndio bora kuliko kunywa...

READ MORE

MATUMIZI HOLELA YA DAWA YANAVYOSABABISHA SARATANI

KITENDO cha mwanamke kutumia kiholela dawa za uzazi wa mpango humuweka katika hatari kiafya hasa kupata kansa ya kizazi.  Kibaiolojia...

READ MORE

FAHAMU AINA ZA UGUMBA (INFERTILITY); KUJIKINGA

UGUMBA ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na mwanamke wanapokutana kimwili bila kutumia njia yoyote ile ya upangaji uzazi...

READ MORE

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Yamwaga Ajira

Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza nafasi za kazi za muda kwa ajili ya Uboreshaji wa Daftari la Wapiga...

READ MORE

MAGONJWA MAPYA YA ZINAA AMBAYO NI TISHIO

KWA SASA Magonjwa mapya huibuka kila uchao na magonjwa yaambukizwayo kwa ngono nayo ni miongoni mwao. Katika makala haya ninakuletea...

READ MORE

TAASISI YA CANADA YAIPA JKCI MASHINE YA MAGONJWA YA MOYO KWA WATOTO!

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imepokea mashine ya Echo kutoka katika Taasisi ya Save a Child’s Heart kutoka...

READ MORE

MAMBO YAKUZINGATIA IWAPO UNATAKA KUSHIKA MIMBA

WanaWake wengi wanapenda kushika mimba lakini baadhi yao hawashiki. Sio kwa mapenzi yao, hivyo leo tutashauri nini cha kufanya ili...

READ MORE

UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME, WANAWAKE WADAIWA KUHUSIKA

KESI ya wanaume kupungukiwa nguvu za kiume zimezidi kushika kasi huku tafiti zikionesha kuwa tatizo hilo linazidi kuongezeka kila uchwao....

READ MORE

VYAKULA KWA WENYE KISUKARI WAKATI WA MFUNGO

MWEZI Mtukufu wa Ramadhani unaendelea, waislamu wote duniani wapo katika mfungo huu, ibada ambayo pamoja na mambo mengine inawataka wafunge...

READ MORE

Kajifungua, Anasumbuliwa Na Michirizi Tumboni, Afanyeje?

HABARI mtaalam, binti yangu hivi karibuni amejifungua lakini tatizo kubwa linalomkosesha amani ni kutokwa na michirizi mingi tumboni. Nawezaje kumsaidia...

READ MORE

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME-2

WIKI iliyopita tulianza kuangalia tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume ambalo linatajwa kushamiri kwa wanaume wengi.    Kwa...

READ MORE

NJIA YA KUEPUKA KISUKARI (DIABETES)

UGONJWA wa kisukari (diabetes) unaongezeka haraka sana hivi kwamba umekuwa janga la ulimwenguni pote. Kuna aina mbili kuu za kisukari. ...

READ MORE

YAJUE MAGONJWA YENYE UHUSIANO NA UKIMWI

WENGI tunajua tatizo la Ukimwi; kirefu chake ni Upungufu wa Kinga Mwilini, ni ugonjwa unaoshambulia na kuua chembe chembe nyeupe...

READ MORE

NJIA 6 KUZUIA MAUMIVU YA TUMBO KIPINDI CHA HEDHI

KAMA ilivyo kwa wanawake wengi, inapofikia wakati wa hedhi, huwa wanapatwa na maumivu makali sana ya tumbo, likiwa limezoeleka kama...

READ MORE

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

ZAMANI matatizo ya unyumba hayakuwa hadharani, yalikuwa ni siri ya mke na mume. Matatizo ya unyumba ni mambo ya chumbani,...

READ MORE

FAHAMU TATIZO LA UVIMBE WA TEZI ZA SHINGO

UGONJWA huu ni uvimbe unaotokea shingoni hauchagui umri na hufahamika kwa kitalaamu kama cervical/neck lympadenopathy.    Tatizo la kuvimba tezi...

READ MORE

YAJUE YANAYOSABABISHA UGUMBA KWA WANAWAKE !

MOJA ya sababu kubwa inayomfanya mwanamke kuwa mgumba ni ile ya mirija ya uzazi ya mwanamke kuvimba kwa kujaa majimaji...

READ MORE

UMUHIMU WA KULA TENDE WAKATI WA MFUNGO

LEO katika makala haya, yataangazia ulaji wa tende, na kwa kuzingatia kuwa huu ni Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, tende ndiyo...

READ MORE

FAHAMU SARATANI YA MATITI NA JINSI YA KUJIPIMA

SARATANI ya matiti ni moja ya magonjwa yanayoongoza katika kusababisha vifo kwa kina mama duniani. Lakini licha ya ugonjwa huo...

READ MORE

 KAMA HUTAKI KUPATA MIMBA; FANYA HAYA

SAFU yetu wiki hii imebeba njia mbalimbali ambazo mwanamke anaweza kutumia ili asipate mimba kama hataki kuwa mjamzito.  Kutokujamiiana ndiyo...

READ MORE

FAHAMU SABABU ZA KUKOSA HEDHI

KUKOSA au kutopata hedhi kabisa ni tatizo linalowapata wanawake wengi sana kwa siku za hivi karibuni na kutokana na maswali...

READ MORE

LIJUE TATIZO LA KUTOKWA NA KINYAMA NJIA YA HAJA KUBWA (BAWASIRI)

BAWASIRI ni ugonjwa unaoibukia katika njia ya haja kubwa (rectum). Hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. ...

READ MORE

HIZI NI IMANI POTOFU NA UKWELI KUHUSU UGONJWA WA JINO

MOJAWAPO ya mambo ambayo yanayowa-sumbua watu wengi ni dhana potofu kuhusu matatizo ya meno yanayouma. Lakini, jambo ambalo linashauriwa ni...

READ MORE

UVIMBE KATIKA MLANGO WA UZAZI (NABOTHIAN CYST)

TATIZO hili la uvimbe wa mlango wa kizazi au kitaalam linaitwa Nabothian Cyst au Nabothian Follicle ni vivimbe au uvimbe...

READ MORE

FAHAMU TATIZO LA MAPAFU KUJAA MAJI

 MAPAFU ndio kiungo kinacho-tegemewa sana katika mwili kama utafanya mazingatio maana ubongo ukikosa oksijeni ndani ya dakika 5 kwenda juu...

READ MORE

TATIZO LA MAWE KWENYE FIGO

UGONJWA wa mawe kwenye figo siyo mgeni miongoni mwa watu hivi sasa. Hata hivyo, katika siku za hivi karibuni, ukubwa...

READ MORE

IFAHAMU PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENSION)

PRESHA ya kupanda ndio maarufu duniani lakini ipo presha ya kushuka ambayo nayo ni hatari.  Hypotension ndio jina linalotumika kuelezea...

READ MORE

KINACHOSABABISHA MWANAMKE KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE SEHEMU ZA SIRI

WANAWAKE inawabidi kujichunguza kila siku ya maisha yao maeneo yao ya uzazi na matiti, vile vile kuichunguza nguo ya ndani...

READ MORE

UGONJWA WA KUUMWA VIUNGO VYA MWILI (ARTHRITIS)

UGONJWA wa maumivu ya viungo huitwa kwa jina lingine yabisikavu. Jina la Kingereza la ugonjwa huo, ‘arthritis, linatokana na maneno...

READ MORE

MABADILIKO NA ATHARI KWENYE MZUNGUKO WA HEDHI

TATIZO la mabadiliko yasiyo ya kawaida katika mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale...

READ MORE

MAUMIVU YA KORODANI CHANZO CHA KUTOPATA MTOTO -3

Tunaendelea na mfululizo wa mada yetu inayohusu maumivu ya korodani chanzo cha kutopata mtoto. Endelea… TATIZO linapotokea katika utu uzima...

READ MORE

FANGASI SEHEMU ZA SIRI ZA MWANAUME

IDADI kubwa ya watu inasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za siri bila kujali jinsia na umri.  Watu wengi wanaamini...

READ MORE

MNAOPENDA SANA SUKARI, HII INAWAHUSU!

 WATAALAMU wa afya wanatahadharisha kuwa juhudi zaidi zinahitajika kupunguza kiwango cha ulaji wa sukari kinachotumiwa na watu.  Shirika la Afya...

READ MORE

IFAHAMU PRESHA YA KUSHUKA (HYPOTENSION)

PRESHA ya kupanda ndio maarufu duniani lakini ipo presha ya kushuka ambayo nayo ni hatari.  Hypotension ndio jina linalotumika kuelezea...

READ MORE

 KIHARUSI; MAMBO MUHIMU YA KUYAFAHAMU

KIHARUSI ni ugonjwa wa dharura na hatari mno ambao hutokea pale seli za ubongo zinapokufa kwa kukosa hewa safi ya...

READ MORE

Ijue Hali Inayosababisha Kulala Wakati Wote

  Kulala ni jambo la kawaida, lakini utamchukulia vipi mtu anapopatwa na usingizi wa ghafla. Hili ni tatizo la kiafya...

READ MORE

UONGO MKUBWA WANAOTUMIA WANAUME KWENYE MAPENZI

Leo atakudanganya kuhusu hili, kesho kuhusu lile ilimradi tu akuchenge usiende kupaona anapoishi na hata kama ni kukutana, basi atapendelea...

READ MORE

HATARI YA KUHARIBIKA KWA CHUJIO ZA FIGO (GLOMERULONEPHRITIS)

KUHARIBIKA kwa chujio za figo kitaalamu Glomerulonephritis ni aina ya ugonjwa wa figo unaoathiri sehemu maalum ya figo (chujio) inayohusika...

READ MORE

MAUMIVU TUMBONI YALETWAYO NA KIDONDA CHA TUMBO !

MAUMIVU tumboni ambayo huja mara kwa mara yanaweza kuwa yanasababishwa na kidonda cha tumbo.   Maumivu ya kidonda cha tumbo...

READ MORE

FAHAMU HATARI ZA KIAFYA KWA WAJAWAZITO

 UJAUZITO unachangia mabadiliko mbalimbali ya mwili tangu mwezi wa kwanza hadi mwanamke anapojifungua. Katika kipindi chote za kulea mimba, mjamzito...

READ MORE