×

Ajira

INEC Yatangaza Nafasi za Kazi za Muda Kwa Uchaguzi Mkuu 2025, Zipo Hapa

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetangaza nafasi za ajira za muda kwa ajili ya maandalizi ya Uchaguzi Mkuu...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Kyerwa, Mwisho wa kutuma Julai 13

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyerwa amepokea kibali cha Ajira chenye Kumb. Na. FA.97/288/01/A/25 cha tarehe 29/4/2025 kutoka...

READ MORE

Mzumbe University Yatangaza Nafasi 46 Za Ajira Kwa Wahadhiri

Chuo Kikuu cha Mzumbe kimetangaza nafasi 46 za ajira katika nafasi za kitaaluma (academic positions), kikialika Watanzania waliobobea na wenye...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Mufindi, Mwisho wa maombi Julai 10

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Moshi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 6,732 LGAs, Mwisho wa Kutuma Maombi Juni 26, 2025

Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mamlaka ya Serikali za Mitaa anakaribisha maombi ya kazi kutoka...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 25 Chuo Kikuu Kishiriki Cha Elimu Dar Es Salaam (DUCE)

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Elimu (DUCE) ni Chuo Chikuu Kidogo kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Kongwa Mwisho wa maombi Juni 26, 2025

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kongwa kufuatia kupokea kibali cha ajira mpya chenye Kumb. Na.FA.87/97/01/99 cha tarehe 15...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Wilaya Ya Sikonge, Mwisho wa maombi Juni 29, 2025

Mkurugenzi amepata kibali kipya cha ajira kwa ikama ya mwaka 2024/2025 chenye Kumb. Na. FA. 97/288/01/25 cha tarehe 29.04.2025 kutoka...

READ MORE

The Amazon College Yatangaza nafasi mbalimbali za Kazi

The Amazon College inatangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa waombaji wenye sifa na ari ya kufundisha katika fani tofauti. Tunakaribisha...

READ MORE

Nafasi za Kazi 14 Mji Masasi, Mwisho wa kutuma maombi Juni 29, 2025,

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Masasi amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma...

READ MORE

Nafasi za Kazi Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL)

Kampuni ya Ndege ya Air Tanzania (ATCL) ni Kampuni ya Umma inayomilikiwa kwa asilimia 100 na Serikali ya Jamhuri ya...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi: Ofisa Masoko Dar, Mwisho wa Kutuma Maombi Juni 15, 2025

Global Publishers Ltd, wamiliki wa Global TV Online na mitandao yake ya kijamii, inakaribisha maombi ya kazi kwa nafasi ya...

READ MORE

TRA Yawapa Siku 14 Watumishi Wapya Kuripoti Kazini

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda ametoa siku 14 kuanzia Juni 06.2025 kwa waajiriwa...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 57 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa maombi Juni 17, 2025

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa, uwezo na ari ya kufanya kazi,...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 43 Kampuni Ya Meli Na Mamlaka Ya Hali Ya Hewa Tanzania (TMA)

Kampuni ya Usafirishaji Tanzania (TASHICO) na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma...

READ MORE

Nafasi za Kazi 13 Mhudumu wa Huduma kwa Wateja Job Junction Tanzania

CUSTOMER CARE PARSON (13) Details Business name : JOB JUNCTION TANZANIA Work Type: Full Time Years of Experience 1 year...

READ MORE

Nafasi za Kazi Wilaya ya Mvomero, Sumbawanga, Wilaya ya Tanganyika na Wilaya ya Mlele

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero, Manispaa ya Sumbawanga, Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika na Halmashauri ya Wilaya...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Nane (08) Ofisi Ya Waziri Mkuu-Sera, Bunge Na Uratibu

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Ofisi ya Waziri Mkuu-Sera,Bunge na Uratibu anakaribisha maombi...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Wahudumu wa Ndege Kutoka Job Junction Tanzania

FLIGHT ATTENDANTS EMPLOYER:Job Junction Tanzania LOCATION:Dar Es Salaam Minimum Education level: Bachelor JOB DESCRIPTIONS: * Provide information, guidance, and assistance...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 15 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa maombi Mei 25, 2025

Kwa niaba ya Wakala wa Elimu na Mafunzo ya Uvuvi (FETA), Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) na Wakala wa Mafunzo...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Mji Handeni, Mwisho wa kutuma maombi Mei, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Handeni -Tanga amepokea kibali kutoka kwa Katibu Mkuu, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Chuo Kishiriki Cha Elimu Dar Es Salaam (DUCE)

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam cha Elimu (DUCE) ni Chuo Kikuu kidogo kilicho chini ya Chuo Kikuu cha Dar...

READ MORE

Tangazo La Nafasi 800 Za Ajira Za Udereva – Ofisi Ya Waziri Mkuu Kupitia Mashirika

Ofisi ya Waziri Mkuu- Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na mawakala na kampuni tanzu ya Mkapa Foundation...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 6 Taasisi Ya Jiolojia Na Utafiti Wa Madini Tanzania (GST)

Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (PSRS) inawaalika Watanzania wenye sifa stahiki na ari ya kufanya kazi kujaza nafasi...

READ MORE

Nafasi ya Kazi Temeke Mwisho wa kutuma maombi Mei 12, 2025

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Temeke anawatangazia Watanzania wenye sifa na nia ya kufanya kazi katika Manispaa ya Temeke...

READ MORE

Je, wewe ni kijana mkazi wa Dar es Salaam? Nafasi Ya Kazi Ipo Hapa

Je, wewe ni kijana mkazi wa Dar es Salaam? Je, unamiliki laptop yako na unaweza kutumia kwa ufanisi programu za...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Same

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Same amepokea Kibali cha Ajira Mpya kutoka kwa Katibu Mkuu – ofisi ya...

READ MORE

Nafasi za Kazi 21 MDAs & LGAs Mwisho wa kutuma maombi Mei 11, 2025

  Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma, kwa niaba ya Wizara, Idara zinazo jitegemea, Wakala za Serikali,...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Cashier Supermarket, Sales, Secretary Dar

Cashier Supermarket, Shop Sales Mobile Shop, Shop Sales Ice Cream Shop, Loan Sales At Bank, Secretary Nb: Only Female Location:...

READ MORE

TRA Yatangaza Matokeo ya Usaili wa Kuandika 2025, Yapo Hapa

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuwataarifa wasailiwa wote waliofanya usaili wa kuandika Machi 30, 2025 katika vituo tisa vilivyokuwa...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Halmashauri Ya Manispaa Ya Moshi

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Moshi anapenda kuwatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi Daraja...

READ MORE

Jeshi la Polisi Latangaza Ratiba ya Usaili kwa Waombaji wa Ajira 2025

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP), Camilius Wambura anawatangazia vijana walioomba ajira ya Jeshi la Polisi kupitia mfumo wa...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 7 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa Maombi Aprili 23, 2025

Taasisi ya Maji (WI) na Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Kahama Shinyanga (KASHWASA), kupitia Sekretarieti ya Ajira katika...

READ MORE

Nafasi Za Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Ngara, Mwisho wa Maombi Aprili 24

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara amepokea kibali cha Ajira mpya kwa ikama ya mwaka 2023/2024 kutoka kwa...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Mamlaka Ya Udhibiti Wa Nafaka Na Mazao Mchanganyiko (COPRA)

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mengine (COPRA), kwa kushirikiana na Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi...

READ MORE

Nafasi za Kazi 48 Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mwisho wa maombi Aprili 10, 2025

Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kinakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa zinazostahili ili kuzingatiwa kwa ajira ya haraka...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 51 MDAs NA LGAs, Mwisho maombi Aprili 7, 2025

Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara, Idara zinazojitegemea na Wakala wa Serikali pamoja...

READ MORE

Nafasi Za Kazi 57 Taasisi Mbalimbali Za Umma, Mwisho wa maombi Aprili 3, 2025

Chuo cha Maji (WI), Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA), Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), Baraza la Mitihani la...

READ MORE

Nafasi Ya Kazi Halmashauri Ya Wilaya Ya Moshi, Mwisho wa maombi Machi 30

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Moshi anapenda kuwatangazia Watanzania wote wenye sifa kuomba Ajira ya Mwandishi Mwendesha Ofisi...

READ MORE